African life Assuarance

African life Assuarance

ipocku

Senior Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
111
Reaction score
32
Poleni na majukumu wana Jf,

Kwa mwenye kufahamu zaidi juu ya African life Assuarance naomba anijuze, walikuja kazini wakitafuta wanachama, nilisita kujiunga sababu ndo mara yangu ya kwanza kuisikia.

Kwa ambaye ni mwanachama au anafahamu zaidi naomba anisaidie kunipa taarifa.
 
Wanadeal na Bima ya Maisha...

Unachangia kama unavyochangia PPF na NSSF ukifa familia yako ndio inabenefit....
 
poleni na majukum wana Jf, kwa mwenye kufahamu zaidi juu ya African life Assuarance naomba anijuze, walikuja kazini wakitafuta wanachama, nilisita kujiunga sababu ndo mara yangu ya kwanza kuisikia. Kwa ambae ni mwanachama au anafaham zaidi naomba anisaidie kunipa taarifa.

Sasa wewe wenyewe wamekuja mpaka ofisini kwako badala ya kuwauliza wao wewe umeamua kukimbia jf kupata ufafanuzi!!
Hii ni akili au matope!!??
 
mimi mwenyewe ni mwanachama ila nalipiwa na kampuni.
Hawa wanatoa bima ya maisha ambayo wataifaidi familia yako wewe ukifa.Mfano wewe UKIFA warithi wako wanalipwa mshahara wako wa miaka 3

au ukipata ulemavu wa kudumu unalipwa kiasi kadhaa......ni maelezo mengi
kwa maelezo zaidi nenda ofisini kwao
 
Sasa wewe wenyewe wamekuja mpaka ofisini kwako badala ya kuwauliza wao wewe umeamua kukimbia jf kupata ufafanuzi!!
Hii ni akili au matope!!??

ok, nimekuelewa! ubarikiwe
 
mimi mwenyewe ni mwanachama ila nalipiwa na kampuni.
Hawa wanatoa bima ya maisha ambayo wataifaidi familia yako wewe ukifa.Mfano wewe UKIFA warithi wako wanalipwa mshahara wako wa miaka 3

au ukipata ulemavu wa kudumu unalipwa kiasi kadhaa......ni maelezo mengi
kwa maelezo zaidi nenda ofisini kwao

Asante sana mkuu, nilikuwa na hofu make sikuwahi kuisikia na nahisi ndo wameanza kuingia wilayani kwetu.
 
Back
Top Bottom