African queen

African queen

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
14,478
Reaction score
18,341
oiopka434194-02.jpg
 
Hana kiwango hicho. Namtoa kasoro kwenye macho na midomo
 
Dah! Sio mchunguzi kiivyo, ila macho yake yamezama sana. Pia dental formula imemharibia lips. Vingine vilivyobakia ni perfect!
 
Yuko super 100%. Niachieni mimi miezi 2 hizo kasoro hamtaziona
 
Siyo lazima awe kutoka kwa Kagame yaani Mnyarwanda.

Ila ni LAZIMA atakuwa MTUSI. Kama siyo mtusi basi ni haya Makabila yanayojiita tofauti ila ni wale wale Watusi, kama Wahima (Bahima). Pua zao utazijua tu na ndiyo maana Werrason anasemwa kuwa ni MTUSI.
 
Hivi wale walioko ahela wenye macho makubwa kama vikombe vya kahawa wanafanana na huyu?
Kama ndo hivyo haukufai huko? Bora nikae hapa hapa 'Guniani' nakula bata wa kienyeji!
 
Huyu ni mnubi au muhabeshi. Ni wazuri sana wanawake wa pande hizo...
 
Back
Top Bottom