African queen

African queen

mnh ulivyo mchunguzi,?huyo mkeo nadhani atakuwa amekamilika kila idara
watu wa kuchunguza sana uwa wanaambuliwa magalasa kumbuka msemo wa wahenga kuchamba kwingi huondoka na mavi
 
Jamani!!! jamani!!! kuna wanawake wamependelewa na mola naomba kuuliza swali mkuu hivi huyu anaenda haja kubwa kweli?
 
Wanawake wazuri wa asili namna hii inatakiwa wawe na free pass kwenda mahala popote duniani. na kama mimi ningekuwa kiongozi wa tz hao wangekuwa free entry.Maana wakizaliana tz baada ya 10 years, mabinti wote bongo ni bomba, na utalii ungeongezeka
 
Huyu mimi labda niwe nimepiga bia mbili, lakini nikiwa macho makavu hata anipe laki sitaki ...............
 
U call that beuty!mmhhh i guess that's why we'r different.
 
Back
Top Bottom