mwadui fc tayari ni bingwa
Nilidhani wanacheza fainali kutafuta bingwa wa kucheza ligi juu,maana maamuzi ya TFF hayatabiriki
Irushwe basi na azamtv ili tuone huo mpambano wa kukatana shoka
mwadui fc tayari ni bingwa
teh teh teh mdau sasa mbona stand utd haina uhakika wa kubaki super league..!!
Stand Utd haishuki, mwaka kesho Inshaallah, jiandae kushuhudia Shinyanga Derby.
Viva la toto afrka,African sports
teh teh teh mdau sasa mbona stand utd haina uhakika wa kubaki super league..!!
Kama stand united haitashuka daraja basi ligi kuu mwakani itakuwa na DERBY nne, Itakuwepo ile ya COAST UNION VS AFRICAN SPORTS kule Tanga, MBEYA CITY VS PRISON kule Mbeya, YANGA VS SIMBA Dar es salaam, na nyingine ni ile ya STAND UNITED VS MWADUI FC huko Shinyanga.