Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajuza a.k.a kibibi umo?Yanga aka vyura, vipi hawamo?
Vibibi hivi hapa, kikiwa kimoja kibibi:Ajuza a.k.a kibibi umo?
Kuna timu itaondoka bila ushindiYanga aka vyura, vipi hawamo?
Kwa nn labda wasiwateue nyie. TULIA DADA IKUINGIESisi hatuchaguliwi, tunapambana kupata nafasi ambazo inajulikana mapema kwamba ukishinda vile, unaenda pale..!! SIyo kama nyie wa kuteuliwa..!! Kama hayo pia yametokea kwenu wakati wa MVP.
Gia zilibadilishwa angani ilimradi Saido awe mmojawapo wakati kwenye magoli yake kuna ya penati..!! Ni muendelezo wa hayo hayo ya kutokuwa na vigezo vya kukufikisha mahala fulani
Wa kuchaguliwa, mtapangana linii??Wa kuteuliwa wanapangana sasa..!!
Uko nje ya mada, au umelewa??Sisi hatuchaguliwi, tunapambana kupata nafasi ambazo inajulikana mapema kwamba ukishinda vile, unaenda pale..!! SIyo kama nyie wa kuteuliwa..!! Kama hayo pia yametokea kwenu wakati wa MVP.
Gia zilibadilishwa angani ilimradi Saido awe mmojawapo wakati kwenye magoli yake kuna ya penati..!! Ni muendelezo wa hayo hayo ya kutokuwa na vigezo vya kukufikisha mahala fulani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia polepolee shost, usitoe kelelee,Kuna timu naionea huruma mpaka basi. Maana itarejea mikono mitupu kwenye hayo mashindano ya Bonanza! Na ikrejea tu itakutana na viporo vilivyochacha!!
Yaani ndiyo utakuwa mwanzo wa kupoteana kwenye Ligi.
Duuuh!
Nyumbani na ugenini... Kwa kifupi yanaanza kama robo fainaliHaya mashindano bado sijajua yanachezwaje kimakundi au mechi moja nyumbani na ugenini ukishindwa ndo basi
unazeeka vibayaYanga aka vyura, vipi hawamo?
Lolote baya liwakute
Na lishawakutaSawa