African Super League

Kuna timu naionea huruma mpaka basi. Maana itarejea mikono mitupu kwenye hayo mashindano ya Bonanza! Na ikrejea tu itakutana na viporo vilivyochacha!!

Yaani ndiyo utakuwa mwanzo wa kupoteana kwenye Ligi.
 
Kwa nn labda wasiwateue nyie. TULIA DADA IKUINGIE
 
Uko nje ya mada, au umelewa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teseka taratibuu mlongooo.
Kunywa maji mengi na upumzikeee.

Kimataifa hasa CL sio level zakoo.
 
Kuna timu naionea huruma mpaka basi. Maana itarejea mikono mitupu kwenye hayo mashindano ya Bonanza! Na ikrejea tu itakutana na viporo vilivyochacha!!

Yaani ndiyo utakuwa mwanzo wa kupoteana kwenye Ligi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia polepolee shost, usitoe kelelee,
Futa machozii sasa, woiiiiiiiih
 
Haya mashindano bado sijajua yanachezwaje kimakundi au mechi moja nyumbani na ugenini ukishindwa ndo basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…