Africans are more than hypocrites

Africans are more than hypocrites

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Pumzika, Maalim Seif Shariff Hamad.

Waliokukamata na kukusweka Mahabusu mara kadhaa, hata kuwapiga wafuasi wako mpaka kuwavunja, kuwaumiza na wengine mpaka kifo, leo wameungana na kukumiminia sifa lukuki.

Wahenga walisema, Kufa, usifiwe.

Pumzika, Maalim Seif Shariff Hamad.

20211105_115259.jpg
 
Pumzika, Maalim Seif Shariff Hamad.

Waliokukamata na kukusweka Mahabusu mara kadhaa, hata kuwapiga wafuasi wako mpaka kuwavunja, kuwaumiza na wengine mpaka kifo, leo wameungana na kukumiminia sifa lukuki.

Wahenga walisema, Kufa, usifiwe.

Pumzika, Maalim Seif Shariff Hamad.

View attachment 1999273
Rest In Peace Maalim
 
Back
Top Bottom