Afrika bana, wateja waliounga kwenye umeme Kenya ni milioni 6, Tanzania milioni 2.8

Afrika bana, wateja waliounga kwenye umeme Kenya ni milioni 6, Tanzania milioni 2.8

Last year report by NBS was 63.2% of urban areas households.
Also by June 2019, about 7,127 villages were connected. The target is to connect 10,278 villages by June 2020. This will be 84% of 12,268 villages.
I'm wondering where does this 2.8 mio come from.
Connecting to villages is not the same as connecting households...hizo nyaya za stima zifike Kijiji flani. Tanzania ni mbuga na watu wanaishi kizamani kizamani.
 
dar censu 2012 4.4milion people
1.4milion household at a time was the only city with more than 1m household

2019 projection was 6m people
may be 2m household
dar haina rea mean more than 95% wako connected kwenye household zao io n dar tu hujaenda kilimanjaro nayo haina rea emu acheni utani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dar censu 2012 4.4milion people
1.4milion household at a time was the only city with more than 1m household

2019 projection was 6m people
may be 2m household
dar haina rea mean more than 95% wako connected kwenye household zao io n dar tu hujaenda kilimanjaro nayo haina rea emu acheni utani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijui kwanini mnajifanya mabumbumbu kiasi hiki, au n ile kutokuelewa kingereza, na mkiambiwa mjifunze hiyo lugha mnaweka vijisababu kwamba ni ya mkoloni, ilhali tunajua ni mlivyo wazembe tu hamna kingine.
Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "

Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzana.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.
 
Mkuu hizi takwimu utakuwa umezitoa chooni kwani kwa DSM pekèe kuna wateja zaidi ya 3m waliyounganishiwa umeme.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "

Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzana.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.
 
Last year report by NBS was 63.2% of urban areas households.
Also by June 2019, about 7,127 villages were connected. The target is to connect 10,278 villages by June 2020. This will be 84% of 12,268 villages.
I'm wondering where does this 2.8 mio come from.

Najua kingereza hukupa tabu sana
Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "

Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzania.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.
 
Sijui kwanini mnajifanya mabumbumbu kiasi hiki, au n ile kutokuelewa kingereza, na mkiambiwa mjifunze hiyo lugha mnaweka vijisababu kwamba ni ya mkoloni, ilhali tunajua ni mlivyo wazembe tu hamna kingine.
Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "

Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzana.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.
leo umenishushia respect nliyokuwa nayo kwa wakenya anyway naamini ni kichwa chako tu ndio kinawaza ushindani na matusi na kujimwambafai bila haja mm sijakuomba report yoyote unaenda teseka mtandaoni kuntafutia report na ku waste time maana mm nimekuandikia data using common sense sio report hapana nimeangalia report za nbs kuhusu sensa nkaona nionge jambo sasa kuanza kote huko kenya sijui imemzidi nani sijui kingereza imepanda imeshuka unakua hauko smart sio kila aliyeko hapa anakuja kushindanisha wengine tunatoa tu mitazama na hoja ungesema tu idadi ya wateja haitegemei wingi wa house hold siungeeleweka umejishusha nyota sana kuwa negative sana sometimes take ur time and relaxe wanao enjoy kenya wako wametulia hawana porojo za kujimwambafai na wako peace sana na nnakutana wakenya wengi wanao enjoy maisha wala kush arusha wenye biashara nzury ila hawana io mambo jitahidi kupunguza negativity ya kuwaza ushindani utajiongezea presha kwa kutokuwa na amani ya moyo maana ukisikia tz ichi utataka kuona kikoje badala ya kujikita kwenye kuenjoy unakuja piga tarumbeta hapa nimejibu hii comment yako japo ni ya kipumbavu ili ujifunze jambo japo najua hapa jukwaani utaendelea kujimwambafay au kujitia ku ignore ila deep nnahakika itakusaidia be at peace na mafanikia enjoy na mwenzio akifanikiwa its fun wa tz wakiwa connected 100% na wakenya ivo ivo 100% kwan nn kitapungua tz na kenya kote wakiisha vizury sio kwenye makazi yasiyo na huduma kwa nn usingejikita kwenye post yako kwamba tz inajitahidi na ukashauri na kama ni hatuna speed ukasema hatuna speed focus + na uwe mpole utaenjoy sana bila pressure kizungu ni lugha na purpose ya lugha ni mawasiliano ivo as longer unanielewa acha kujitia unajua sana maana hatulipwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leo umenishushia respect nliyokuwa nayo kwa wakenya anyway naamini ni kichwa chako tu ndio kinawaza ushindani na matusi na kujimwambafai bila haja mm sijakuomba report yoyote unaenda teseka mtandaoni kuntafutia report na ku waste time maana mm nimekuandikia data using common sense sio report hapana nimeangalia report za nbs kuhusu sensa nkaona nionge jambo sasa kuanza kote huko kenya sijui imemzidi nani sijui kingereza imepanda imeshuka unakua hauko smart sio kila aliyeko hapa anakuja kushindanisha wengine tunatoa tu mitazama na hoja ungesema tu idadi ya wateja haitegemei wingi wa house hold siungeeleweka umejishusha nyota sana kuwa negative sana sometimes take ur time and relaxe wanao enjoy kenya wako wametulia hawana porojo za kujimwambafai na wako peace sana na nnakutana wakenya wengi wanao enjoy maisha wala kush arusha wenye biashara nzury ila hawana io mambo jitahidi kupunguza negativity ya kuwaza ushindani utajiongezea presha kwa kutokuwa na amani ya moyo maana ukisikia tz ichi utataka kuona kikoje badala ya kujikita kwenye kuenjoy unakuja piga tarumbeta hapa nimejibu hii comment yako japo ni ya kipumbavu ili ujifunze jambo japo najua hapa jukwaani utaendelea kujimwambafay au kujitia ku ignore ila deep nnahakika itakusaidia be at peace na mafanikia enjoy na mwenzio akifanikiwa its fun wa tz wakiwa connected 100% na wakenya ivo ivo 100% kwan nn kitapungua tz na kenya kote wakiisha vizury sio kwenye makazi yasiyo na huduma kwa nn usingejikita kwenye post yako kwamba tz inajitahidi na ukashauri na kama ni hatuna speed ukasema hatuna speed focus + na uwe mpole utaenjoy sana bila pressure kizungu ni lugha na purpose ya lugha ni mawasiliano ivo as longer unanielewa acha kujitia unajua sana maana hatulipwi

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeshindwa kusoma insha yote hii maana ni pumba tu. Tafuta mtu akuelimishe nini tofauti ya registered customers na households, ukipata hilo jibu nahisi utaingiwa na aibu ya jinsi gani ulivyo mweupe.
Hapa haujadili na Wakenya au Kenya, unajadili na mimi mtu mmoja, wacha kujificha kwenye mambo ya utaifa.
 
Nimeshindwa kusoma insha yote hii maana ni pumba tu. Tafuta mtu akuelimishe nini tofauti ya registered customers na households, ukipata hilo jibu nahisi utaingiwa na aibu ya jinsi gani ulivyo mweupe.
Hapa haujadili na Wakenya au Kenya, unajadili na mimi mtu mmoja, wacha kujificha kwenye mambo ya utaifa.
karibu matunda usiwe unapanic ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaonyesha jinsi gani ulivyo na uelewa mdogo, pale unapopata habari kama hii unatakiwa kwanza kujifunza tofauti ya 'national grid' na 'local grid or regional grids'.

TZ kuna wateja walio connected kwenye national grid wengi wao wako urban areas na wengine wako connected kwenye local/regional grids through a Rural Area Electrification program hawa wako rural na peri urban areas.

TZ ina households approx. 11.2 million, percentage ya Electrification urban ni around 70% na rural ni around 60% ukifanya averaging kwa nchi nzima unapata approx 65%. Hii ni sawa na 7.4 million households zenye umeme🙂

Tazama picha za satellite usiku uone tofauti ya Electrification ya KE na TZ......
Hapa nakiri japo kila kitu Kenya kwenye masuala ya uchumi huwa mara mbili ya Tanzania, lakini bado hata sisi tuko nyuma kwenye baadhi ya haya mambo. Yaani sisi tukiitwa shithole, wenzetu Afrika walio nyuma yetu sijui wataitwa kitu gani, maana hamna msamiati wake.

====


Kenya Power confirms 5.9 Million customers connected to the grid

Kenya Power has confirmed that 5.9 million customers have been connected to the grid to date through ongoing government-led national electrification programmes.

Of these customers, 3.5 million customers are on prepaid meters, as the Company shifts to advanced technology that makes it easy for customers to purchase electricity.

“The number of households currently connected to the national grid stands at 63 per cent of the national coverage. The target is to connect 70 per cent by the end of this year and universal access by the year 2020,” said Kenya Power’s Ag. Managing Director & CEO Dr Ken Tarus.

He was speaking at a press conference held at Stima Plaza today where the Company sought to shed light on an erroneous media report which claimed that about one million customers were non-existent, based on the fact that they had not purchased tokens since the meters were installed and activated.

Dr Tarus added that all prepaid meters come with preloaded units, which account for the long time taken by customers before they commence vending, especially in low income households which are low consumers of electricity.

“Most of the customers who are beneficiaries of the World Bank’s GPOBA (Global Partnership of Output Based Aid), and the Last Mile Connectivity programmes are largely from informal settlements whose monthly consumption is 2 units on average. As a result, most of them take long to exhaust the initial pre-loaded units,” said Dr Tarus.

The number of customers connected to the national grid has been growing steadily over the last five years.

By June 30, 2012, only 2 million customers had been connected to the national grid, accounting for just 16 per cent of the country’s population with access to electricity. This figure had increased to 4.9 million customers by the end of the last financial year.


Source: Kenya Power


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaonyesha jinsi gani ulivyo na uelewa mdogo, pale unapopata habari kama hii unatakiwa kwanza kujifunza tofauti ya 'national grid' na 'local grid or regional grids'.

TZ kuna wateja walio connected kwenye national grid wengi wao wako urban areas na wengine wako connected kwenye local/regional grids through a Rural Area Electrification program hawa wako rural na peri urban areas.

TZ ina households approx. 11.2 million, percentage ya Electrification urban ni around 70% na rural ni around 60% ukifanya averaging kwa nchi nzima unapata approx 65%. Hii ni sawa na 7.4 million households zenye umeme🙂

Tazama picha za satellite usiku uone tofauti ya Electrification ya KE na TZ......

Sent using Jamii Forums mobile app

Nitakujibu ninavyowajibu ndugu zako maana naona na wewe Kingereza kimepupiga chenga

Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "


Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzania.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.
 
Nitakujibu ninavyowajibu ndugu zako maana naona na wewe Kingereza kimepupiga chenga

Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "


Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzania.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%


So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.

Mbona haueleweki mk... unachojibu na alichokueleza huyo mdau pale juu havina uhusiano.

Yeye anaeleza kuna wateja wa aina mbili...local na national.

Wewe unawaqoute Tanesco wakieleza wateja wakubwa??
 
Bora uendelee kupita kimya kama hoja zimekushinda, hamna sehemu nimesema watu, nimesema wateja. Hizo ni takwimu zimetajwa na mjumbe wa kamati ya nishati na pia waziri na wabunge akiwemo spika wote hakuna aliyebisha, sasa wewe kwa njaa zako hapa unabisha.
Mpo nyuma sana mumechelewa.
KENYA MKO VIZURI.
TANZANIA BADO SANA.
TUNAOMBA VIONGOZI WA DINI WALIONBEE TAIFA LA TANZANIA
HALAFU MTUMISHI WA UMMA ANACHANA KITABU CHA DINI NA WATANZANIA WABASUPPORT
 
Mbona haueleweki mk... unachojibu na alichokueleza huyo mdau pale juu havina uhusiano.

Yeye anaeleza kuna wateja wa aina mbili...local na national.

Wewe unawaqoute Tanesco wakieleza wateja wakubwa??

Nimemsahihisha maana anachojibu hakiendani na mada, angalia kwanza mada inahusu nini, uzi huu unaongea kuhusu wateja wa TANESCO wote, iwe wameunga kwa mbinu zipi au gani, yaani wote.

Mbona mnashindwa kutofautisha kati ya "registered customers" na "households", kingereza chepesi sana ila kimewashinda nyote, watu wanajibu kwa kuandika insha hadi basi.
 
Nimemsahihisha maana anachojibu hakiendani na mada, angalia kwanza mada inahusu nini, uzi huu unaongea kuhusu wateja wa TANESCO wote, iwe wameunga kwa mbinu zipi au gani, yaani wote.

Mbona mnashindwa kutofautisha kati ya "registered customers" na "households", kingereza chepesi sana ila kimewashinda nyote, watu wanajibu kwa kuandika insha hadi basi.
Hakuna kushindwa kwa kiingereza wewe ndiyo unawaza hivyo...alichokuambia mdau na ulichoeleza havina uhusiano...labda wewe ndiye hauelewi.


Nimesoma bajeti ya wizara inasema kaya 2.2... huyo aliyekuqoute katoa data za uongo. Hivyo wakenya waliounganishwa ni wengi.

Hii haiondoi ukweli wa nilichoandika hapo juu.
 
Hakuna kushindwa kwa kiingereza wewe ndiyo unawaza hivyo...alichokuambia mdau na ulichoeleza havina uhusiano...labda wewe ndiye hauelewi.


Nimesoma bajeti ya wizara inasema kaya 2.2... huyo aliyekuqoute katoa data za uongo. Hivyo wakenya waliounganishwa ni wengi.

Hii haiondoi ukweli wa nilichoandika hapo juu.

Kidogo huwa nakuona uko balanced, sijui kwanini unatetereka kwa hili kama wenzako.
- Uzi nilianzisha ambao unaongea kuhusu wateja wa TANESCO
- Mteja mmoja anaweza akawa na households tano
- Nyote mnajibu kwa kukurupuka, mara mnanitajia idadi ya watu, mara kaya
- Vyote hivyo haviendani na taarifa za uzi maana tunazungumza kuhusu wateja, narudia tena "customers", jameni angalia kwenye dictionary nini maana ya "Customers"
- Huyo mdau unayemkingia kifua, yeye kajibu kwa kuniletea taarifa za households eti kwamba ndio jibu lake la kunisahihisha, ilhali mimi nilileta taarifa za "Customers"

Kama mnataka tuhamishe uzi tujadili households, basi twende kazi
- Kenya ina households 12.1 million
- Zaidi ya asilimia 75% ya hizi households zimeunga kwenye umeme
- Hiyo ina maana households kama 9,075,000 za Kenya zimeunga
- Jamaa wako huyo amesema Tanzania households zilizounga ni 7,400,000

Sidhani kama nitaweza kuirahisisha zaidi ya hapo, mkishindwa kuelewa hii basi kwaherini, muendelee kujitekenya na kujikuna
 
Wewe unaonyesha jinsi gani ulivyo na uelewa mdogo, pale unapopata habari kama hii unatakiwa kwanza kujifunza tofauti ya 'national grid' na 'local grid or regional grids'.

TZ kuna wateja walio connected kwenye national grid wengi wao wako urban areas na wengine wako connected kwenye local/regional grids through a Rural Area Electrification program hawa wako rural na peri urban areas.

TZ ina households approx. 11.2 million, percentage ya Electrification urban ni around 70% na rural ni around 60% ukifanya averaging kwa nchi nzima unapata approx 65%. Hii ni sawa na 7.4 million households zenye umeme🙂

Tazama picha za satellite usiku uone tofauti ya Electrification ya KE na TZ......

Sent using Jamii Forums mobile app



Nitakujibu ninavyowajibu ndugu zako maana naona na wewe Kingereza kimepupiga chenga

Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "


Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzania.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%


So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.

Shida yangu ilikuwa kwenye majibizano yako na huyo jamaa tu wala sio pengine.


Yeye alikupatia taarifa ambazo zilijibu maswali yako yote wewe ukaja kumqoute ukatoka nje ya taarifa alizokupatia.

Bahati mbaya nimesoma taarifa ya wizara huyo mdau alitoa taarifa za uongo. Nilidhani taarifa alizozitoa zilikuwa sahihi.

Kuhusu tofauti kati ya watena na idadi ya watu wala usieleze naelewa.
 
Shida yangu ilikuwa kwenye majibizano yako na huyo jamaa tu wala sio pengine.


Yeye alikupatia taarifa ambazo zilijibu maswali yako yote wewe ukaja kumqoute ukatoka nje ya taarifa alizokupatia.

Bahati mbaya nimesoma taarifa ya wizara huyo mdau alitoa taarifa za uongo. Nilidhani taarifa alizozitoa zilikuwa sahihi.

Kuhusu tofauti kati ya watena na idadi ya watu wala usieleze naelewa.

Bado haunielewi, umeshikilia kile kile kwamba eti jamaa alijibu maswali yangu, naweka hapa mitiririko wa uzi
- Nilileta taarifa za "customers"
- Jamaa wako akakosea kwa kujibu akitumia taarifa za "households" ambazo haziendani na kile nilicholeta
- Nikamrekebisha kwamba mimi nazungumza kuhusu "customers" sio "households"
- Wewe ukaja ukamtetea kwamba yuko sahihi kutumia "households"
- Basi nikaamua isiwe tabu tuhamie huko kwa "households"
- Na huko tulikohamishia naona bado hamjatulia, sijui basi tuhamie kwa "population" connected to electricity
 
MK254 said:
Nitakujibu ninavyowajibu ndugu zako maana naona na wewe Kingereza kimepupiga chenga

Naomba utafute mtu akutafisirie hii sentensi kutoka kwenye tovuti rasmi ya TANSECO "It is estimated that over 44% of all Tanesco revenue is earned from only 3,836 Large Power Users (LPUs) who forms 0.17% of all customers countrywide. "
TANESCO - Distribution
Welcome to TANESCO website
www.tanesco.co.tz

Nikusaidie kwenye hesabu rahisi sana mithili ya kufanywa na mwanangu mdogo.
Kwenye hiyo tovuti ya TANESCO, inasema wateja wakubwa ni 3,836 na asilimia yao ni 0.17% ya wateja wote Tanzania.
Sasa hapo fanya (100 x 3836) / 0.17
Utapata 2,256,470
Hiyo ndio idadi ya wateja wanaofikia asilimia 99.83%

So kama utabisha hadi hizi taarifa rasmi kutoka kwa tovuti ya TANESCO utakua na kichaa. Fahamu kuna tofauti baina ya wateja na household, jifunze kingereza.
Kenya imewazidi mara karibia tatu kwa hili maana ina wateja milioni sita.

Your comprehension and analytical skills are lacking, kitu kidogo tu cha kutambua tofauti kati ya wateja waliokuwa connected kwenye national, local/regional grid or even off-grid kinakushinda. I don't have to call you out kila mara lakini ukipotosha sana ni lazima nitakushukia kama mwewe kukurudisha kwenye mstari....

MK254 said:
Kidogo huwa nakuona uko balanced, sijui kwanini unatetereka kwa hili kama wenzako.
- Uzi nilianzisha ambao unaongea kuhusu wateja wa TANESCO
- Mteja mmoja anaweza akawa na households tano
- Nyote mnajibu kwa kukurupuka, mara mnanitajia idadi ya watu, mara kaya
- Vyote hivyo haviendani na taarifa za uzi maana tunazungumza kuhusu wateja, narudia tena "customers", jameni angalia kwenye dictionary nini maana ya "Customers"
- Huyo mdau unayemkingia kifua, yeye kajibu kwa kuniletea taarifa za households eti kwamba ndio jibu lake la kunisahihisha, ilhali mimi nilileta taarifa za "Customers"

Kama mnataka tuhamishe uzi tujadili households, basi twende kazi
- Kenya ina households 12.1 million
- Zaidi ya asilimia 75% ya hizi households zimeunga kwenye umeme
- Hiyo ina maana households kama 9,075,000 za Kenya zimeunga
- Jamaa wako huyo amesema Tanzania households zilizounga ni 7,400,000

Sidhani kama nitaweza kuirahisisha zaidi ya hapo, mkishindwa kuelewa hii basi kwaherini, muendelee kujitekenya na kujikuna

There you go again, nimekupa approximated figure ya households na sio absolute numbers based on the fact that an average household size ya TZ ni 4.9 people in an approx. population ya around 59 million people. Percentage ya connectivity ya umeme national wide ni around 65% ...piga hesabu tena...

Diaby said:
Shida yangu ilikuwa kwenye majibizano yako na huyo jamaa tu wala sio pengine.


Yeye alikupatia taarifa ambazo zilijibu maswali yako yote wewe ukaja kumqoute ukatoka nje ya taarifa alizokupatia.

Bahati mbaya nimesoma taarifa ya wizara huyo mdau alitoa taarifa za uongo. Nilidhani taarifa alizozitoa zilikuwa sahihi.

Kuhusu tofauti kati ya watena na idadi ya watu wala usieleze naelewa.

Shida yako ndio nini, punguza porojo porojo, hebu tueleze kisayansi kitu gani unachoelewa badala ya kudandia mambo jamvini....
 
Your comprehension and analytical skills are lacking, kitu kidogo tu cha kutambua tofauti kati ya wateja waliokuwa connected kwenye national, local/regional grid or even off-grid kinakushinda. I don't have to call you out kila mara lakini ukipotosha sana ni lazima nitakushukia kama mwewe kukurudisha kwenye mstari....
Utapayuka lakini mwisho utatulia maana takwimu rasmi za TANESCO hazitafutika
Wateja wote hao waliounga kwenye "national, local/regional grid" wamejumuishwa pamoja hivyo sina haja ya kuchambua yupi yuko kwenye grid ipi.
Huu uzi unaongea kuhusu categories zote zikijumuishwa.

There you go again, nimekupa approximated figure ya households na sio absolute numbers based on the fact that an average household size ya TZ ni 4.9 people in an approx. population ya around 59 million people. Percentage ya connectivity ya umeme national wide ni around 65% ...piga hesabu tena...
Nimesema mkitaka tuhamie hata kwenye households, bado utaona tumewafunika tena kwa milioni kadhaa.....hivyo uje na approx au absolute, kipigo ni kile kile

Shida yako ndio nini, punguza porojo porojo, hebu tueleze kisayansi kitu gani unachoelewa badala ya kudandia mambo jamvini....
Hapa mumepoteana wenyewe, unamshambulia huyo anayejaribu kukutetea.
 
Umeshindwa kutetea hoja zako, kwa sababu they are too shallow, umebaki kurukaruka tu, unadhani website ya TANESCO ndio kila kitu🙂

Ukushatambua ni nini tofauti kati ya wateja walio kuwa connected ktk national grid kupitia TANESCO na wale walio kuwa connected ktk regional grids kupitia REA ndio urudi tena hapa....


REA_TZ.png

Source: UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME TANZANIA BARA KWA MWAKA 2019-2020
......
Utapayuka lakini mwisho utatulia maana takwimu rasmi za TANESCO hazitafutika
Wateja wote hao waliounga kwenye "national, local/regional grid" wamejumuishwa pamoja hivyo sina haja ya kuchambua yupi yuko kwenye grid ipi.
Huu uzi unaongea kuhusu categories zote zikijumuishwa.


Nimesema mkitaka tuhamie hata kwenye households, bado utaona tumewafunika tena kwa milioni kadhaa.....hivyo uje na approx au absolute, kipigo ni kile kile


Hapa mumepoteana wenyewe, unamshambulia huyo anayejaribu kukutetea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom