Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunazama kwenye ujinga na kufuata dini/imani za kuletewa ili tutawalike vizuri zaidi tukiamini vya kuletewa na wenzetu ndiyo mali zaidi. Tukiendelea kupeleka watoto wetu na kuwaaminisha kuwa madrasat ni bora kuliko elimu basi tumekwisha.View attachment 2215995
Afrika inazama.
Tujiiulize: Tunazama kwenye nini? Umaskini? Madeni? Ujinga? Magonjwa? Dhuluma? .....
Nini la kufanya ili tusiendelee kuzama?
Hizi dini za kuletewa huoni kama linazamisha taifa letu, watu wamekuwa wajinga kupindukia wakiamini vitu that do not make any sense to us wala kwa hao waliotuletea.UJINGA. hayo mengine yote ni mepesi hayawezi zamisha taifa/Bara ikiwa ujinga haupo.
Kitu Gani kimeashiria hivyo?Tulikuwa tunatapatapa kwenye maji ya kina kifupi tukidhani tutajikwamua, sasa hivi tunazama kwenye maji ya kina krefu.
Ujinga ndio umezaa yoteUJINGA. hayo mengine yote ni mepesi hayawezi zamisha taifa/Bara ikiwa ujinga haupo.
Madaraka ni ajira binafsi kwa maslai yao watoke waende wapi,hali hawana ujanja wa kuishi nje ya mshaharawalokaa madarakani muda mrefu hawataki ondoka kupisha mabadiliko (fikra pevu, vijana etc)
Walipigania UHURU wa maisha yao na sio wa waafrika wote zaidi ya kuwahadaa.Hao waliopigania UHURU ndio walioweka misingi mibovu hata hawa waliopo sasa wamepikwa nao hao waliofariki.Hakuna mpigania UHURU aliyekufa masikini mbona wameacha uzao wao wakiwa matajiri.Jahazi linapozama abiria huamua ili waweze kuwa hai kipi wakitose baharini kwanza na endapo litaendelea kuzama watachagua hivyohivyo mpaka kufikia wagonjwa na wadhaifu wakiwamo wazee na watoto.
Afrika viongozi waliopigania uhuru licha ya kuwa wasomi bora kuliko hawa walikufa masikini na hawa wa sasa ni matajiri kuliko wafanyabiashara huku hawalipi kodi!
Kheri wabaki watu wachache watakao liendeleza bara hili kuliko kuwa na utitiri ambao watalizamisha jahazi(bara).
Ni ufisadi tu ndio unaozamisha bara la Africa !! Hata Rais mstaafu Olusegun Obasanjo alisema hivyo lakini aliyasema hayo wakati ameshakiachia kiti cha URAIS !!View attachment 2215995
Afrika inazama.
Tujiiulize: Tunazama kwenye nini? Umaskini? Madeni? Ujinga? Magonjwa? Dhuluma? .....
Nini la kufanya ili tusiendelee kuzama?
Ni kumuachia Mungu tu.Nini la kufanya?
Maendelo ya Bara la afrika ukilingansiha na mabara mengine yaliyokuwa kiwango kimoja mwaka 1960. Leo hii tunaomba misaada kutoka China ambayo ilikuwa maskini kuliko sisi miaka hiyo. Najua unaweza kusema "walitujengea reli ya Uhuru na kiwanda cha Urafiki", lakini hujui yaliyokuwapo nyuma ya misaada hiyo, jambo ambalo ni mjadala mwingine.Kitu Gani kimeashiria hivyo?
Tukiacha kulinganisha...Africa ya miaka ya 60 Na ya Sasa Ni ipi Ina afadhali?Maendelo ya Bara la afrika ukilingansiha na mabara mengine yaliyokuwa kiwango kimoja mwaka 1960. Leo hii tunaomba misaada kutoka China ambayo ilikuwa maskini kuliko sisi miaka hiyo. Najua unaweza kusema "walitujengea reli ya Uhuru na kiwanda cha Urafiki", lakini hujui yaliyokuwapo nyuma ya misaada hiyo, jambo ambalo ni mjadala mwingine.
Maisha ni one way traffic, huwezi kusema mtu fulani ana afadhali leo kwani alikuwa na hali mbaya utotoni, na ukashindwa kulinganisha hali yake leo na wale aliozaliwa nao kipindi kimoja. Opportunities zilizokuwapo zamani ni tofauti na zilizopo leoTukiacha kulinganisha...Africa ya miaka ya 60 Na ya Sasa Ni ipi Ina afadhali?
Sema unazama wewe .View attachment 2215995
Afrika inazama.
Tujiiulize: Tunazama kwenye nini? Umaskini? Madeni? Ujinga? Magonjwa? Dhuluma? .....
Nini la kufanya ili tusiendelee kuzama?