Afrika itachukua muda wa karne moja, miongo minne na miaka miwili kufikia usawa wa kijinsia

Afrika itachukua muda wa karne moja, miongo minne na miaka miwili kufikia usawa wa kijinsia

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Kulingana kasi ya ukuaji wa usawa wa kijinsia ya sasa kwa Afrika utafiti uliofanywa na "Global institute on the power parity in advancing women's equality in Afrika" kama ilivyonukuliwa na (Nanjala, 2020) East African, Afrika itachukua muda wa miaka mia na arobaini na mbili(142) kufikia usawa wa kijinsia.

Nchi za Afrika a Mashariki zinaonekana kufanya vizuri zaidi kulingana na ripoti hiyo. Rwanda imefikia kizio kinachoonesa isawa wa 0.69, ikifuatuwa na Ethiopia yenye kiwango cha 0.63 huku Nchi za Kenya Uganda na Tanzania zikiwa katika kiwango cha 0.62.

Kiwango cha Nchi hizo nilizozionesha hapo juu kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyoandikwa kwa mwandishi yaliyokozwa hapo juu ni kikubwa kuliko kiwango cha Bara zima a Afrika ambacho ni 0.58.

Nchi za Afrika ya Magharibi zinaonekana kufanya vibaya zaidi na kuwa hini ya kiwango cha usawa wa kijinsia cha 0.60

Nchi kama Niger ilionekana kuwa na kiwango cha 0.45, Mali na Mauritania zilikiwa na kiwango cha 0.46.
 
KAA MBALI NA TAASISI YOYOTE INAYOITWA GLOBAL. BY THE WAY, MATATIZO YA AFRIKA SIO USAWA WA KIJINSIA, TATIZO KUBWA LA AFRICA NI "CORRUPT LEADERS"
 
KAA MBALI NA TAASISI YOYOTE INAYOITWA GLOBAL. BY THE WAY, MATATIZO YA AFRIKA SIO USAWA WA KIJINSIA, TATIZO KUBWA LA AFRICA NI "CORRUPT LEADERS"
Naam
Ila hatuwezi kujitenga kabisa na kijiji kiitwacho Global, angalau tufanye Glocal kama alivyoshauri Prof. Wadada Nabudere
 
Upo sahihi mkuu,kuna rafiki yangu wa kike nimemuomba anitongoze ila nashangaa anang'aa ng'aa tu macho hapo.
 
Back
Top Bottom