Afrika kazi bado ipo, nimeshangaa kwamba Tanzania bado ni koloni la Ujerumani

redeemer hiyo ndio 'katiba mpya' ya Tz ya 1977? [emoji15] Bure kabisa we jamaa! [emoji1]
Kitu cha 1977 ni kipya leo 2019?
Umesema katiba tuliyonayo saivi ni piles of ammendments

Sasa nataka kujua kama unajua maana ya constituent assembly?

Our 1977 constitution is the product of constituent assembly sat that time of more than 300 members took over 2 years, hivi ammendments zinafanyika kwa kuitisha constituent assembly au normal legislative bill tabling process juu ya ammendment of the certain particular law?

Is constituent assembly same to normal legislation assembly?
 
redeemer hiyo ndio 'katiba mpya' ya Tz ya 1977? [emoji15] Bure kabisa we jamaa! [emoji1]
Kitu cha 1977 ni kipya leo 2019?
Umesema katiba tuliyonayo saivi ni piles of ammendments

Sasa nataka kujua kama unajua maana ya constituent assembly?

Our 1977 constitution is the product of constituent assembly sat that time of more than 300 members took over 2 years, hivi ammendments zinafanyika kwa kuitisha constituent assembly au normal legislative bill tabling process juu ya ammendment of the certain particular law?

Is constituent assembly same to normal legislation assembly?
 
Taahira lingine hili limepatikana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwani kufanana kwa sheria ndio kufanana kwa katiba? Almost the whole world judicial systems are the most related to the ancient roman empire conducts of govern kwa hiyo dunia nzima tumerithi katiba ya ancient roman empire?

Do you know anything about Canon Laws?
 
Acha tu bana. Ubishi wa kitoto na watu ambao hawana ufahamu wa masuala msingi kuhusu katiba na sheria ni kibarua kigumu mno.
 
Mjinga siongelei mfanano wa legal system bali naongelea historia ya sheria na katiba ya Tanzania. Historia inaonesha sheria na katiba yetu chanzo chake ni Germany ordinances at pre colonial era
Ulivyo mjinga unatanua mdomo kubishana na mtu aliekaa darasan na kusomea legal systems huku ww hujui lolote kuhusu sheria za Tanzania zaid ya kuwa na mwanga kidogo ulopewa na mwalim wako wa civics
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe hata kwenye Korosho aliropoka huo huo ujinga kuwa hapangiwi cha kufanya, nini kimetokea?
Jeshi limekwama, Wakulima wanalia njaa, Korosho imedoda maghalani msimu wa kuuza korosho unaelekea kwisha.

Jiwe ana ubishi wa kitoto, kijinga na kishamba sana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We bongolala ulipata lini hiyo shule ya sheria? Bush lawyer? Eti kisa kuna baadhi ya capes kwenye constitution yetu vina mfanano na baathi ya mataifa basi katiba yetu ni yao? Acha upimbi we fala huna unachokijua kuhusu laws wala constitution, kwa taarifa yako duniani kote laws are sourced from the almost one common cradle kwa hiyo kisa eti kuna mfanano wa sheria zetu na German does not mean we have exactly what Germany call constitution sababu hata ya Germany na UK they have the same thing we share all.

Katiba ni zaidi ya sheria zinazofanana unazozijua wewe.
 
Acha tu bana. Ubishi wa kitoto na watu ambao hawana ufahamu wa masuala msingi kuhusu katiba na sheria ni kibarua kigumu mno.
Wewe bado hujajibu hoja yangu kuhusu constituent assembly iliyofungwa 1977, naona unamtumia huyo boya kama escaping mechanisms kuhalalisha pumba zako.
 
Kama kuna jambo ambalo nampendea Magufuli wetu ni kwamba huwa hacheki na hizi ngozi nyeupe. Hapo nampa kongole baba yetu, tuko nyuma yako tunakupa sapoti.
 
Wewe bado hujajibu hoja yangu kuhusu constituent assembly iliyofungwa 1977, naona unamtumia huyo boya kama escaping mechanisms kuhalalisha pumba zako.
Kama hujaelewa lolote hadi sasa hivi sina huo muda wa kupigia mbuzi gitaa.
 

Ahaaa haaa haaa
unazidi kudanganya wajuvi. hivi wewe kweli umewahi iona katiba ya uingereza?

CC: REDEEMER. nimemchokoza ili aje mzima mzima nimmalize na comparative law facts.
 
Kama kuna jambo ambalo nampendea Magufuli wetu ni kwamba huwa hacheki na hizi ngozi nyeupe. Hapo nampa kongole baba yetu, tuko nyuma yako tunakupa sapoti.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Katika siku uliyonifurahisha kuliko siku zote ni leo.

Pata kitu roho inapenda hapo Kibera nakuja kurefund.
 
Ahaaa haaa haaa
unazidi kudanganya wajuvi. hivi wewe kweli umewahi iona katiba ya uingereza?

CC: REDEEMER. nimemchokoza ili aje mzima mzima nimmalize na comparative law facts.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nishamsoma kitambo hana hili wala lile me mwenyewe Nilikua nimemuandalia nondo za fundamental govern laws lakini nikaona ni kama nitapakia mzigo wa semi trailer kwenye tray la mayai, I reserved.
 
Ngoja niendelee kukupa shule we mchambaj wa jf. Sa hz umeanza kuwa mpole baada ya kugundua umekutana gwiji wa constitutional laws
Kwanza kwny lugha ya kisheria hatuna uchafu unaitwa capes, ile imaitwa cap ambayo imetoholewa kutoka lugha ya kilatini cupitulus yaan chapter. Haya nimekufundisha adabu usipende kubwatuka kwny tasnia ambazo huna ujuzi nazo huku ukitanguliza matusi. Haya mambo ya katiba ni somo gumu ambapo ubongo kama wako uliozoea kukariri vishazi hautoweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr. MK254 unajifanya hujui tu kuwa African countries and other third world countries hawana maamuzi kamili ktk masuala mengi ya nchi zao kuna western countries wana influence kubwa. Ujerumani wana haki yao kusema hivyo kwa sababu ni wadau wazuri wa uhifadhi. Ukiona Maasai Mara, Serengeti na Selous zimesimama ujue kuwa kuna mabwana waliwekeza pesa zao kuwekeza.
 
Afrika ingekuwa na kina Magufuli 10 tu, dunia ingeanza kutuelewa kama China inavyojulikana.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe wakenya wakikaa kwenye mazingira tulivu wanakuwaga na akili hivyo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… huyo lazima atakua ndani ya mipaka ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We ni fala tu Kwani ni siri?
Naona typo imekupa free promotion

Good job, enjoy your new status
 
British wana uncodified constitution ambayo nyie mlioishia kusoma civics mnasema ni unwritten constitution. Though kihistoria the Magna carta of 1215 inatambuliwa kama part of documented Britain constitution. Samahan kwa kutumia lugha za kitaalam
Ahaaa haaa haaa
unazidi kudanganya wajuvi. hivi wewe kweli umewahi iona katiba ya uingereza?

CC: REDEEMER. nimemchokoza ili aje mzima mzima nimmalize na comparative law facts.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…