[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We ni fala tu Kwani ni siri?
Naona typo imekupa free promotion
Good job, enjoy your new status
Nimesema katiba ni ile ile mlioachiwa na mkoloni, ambaye ni muingereza. Sijataja mjerumani popote. Azimio la arusha ndio ilikuwa ni katiba mpya? [emoji15] Aisee, MK254 muelimishe huyu Madenge kuhusu nchi yake. Anajifanya kwamba hanielewi hata kidogo. [emoji1]
Oya ficha upumbavu wako. Usidhani tukiwa tumenyamaza ujione msomi.Hatimae umeiva, siku nyingine unavyobishana mtandaoni hakikisha uko well informed. Ona nilivyoacha wazi tupu zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, ninyi mlioandika katiba mpya, nini kimebadilika katika kutatua shida za wananchi ambazo niHamfahamu hata historia ya nchi yenu? [emoji15] Kando na kufanya 'ammendments' kwenye katiba ya Tz. Chini ya mifumo mipya ya urais na hapo baadaye muungano na Zanzibar, watz hamjaandika katiba mpya tangu mpate uhuru kutoka kwa mkoloni.
British wana uncodified constitution ambayo nyie mlioishia kusoma civics mnasema ni unwritten constitution. Though kihistoria the Magna carta of 1215 inatambuliwa kama part of documented Britain constitution. Samahan kwa kutumia lugha za kitaalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawatatufanya lolote,na mradi utaendelea,wamepiga kura tu ili kujiridhisha,siye ni taifa huruNimekutana na taarifa kwamba bunge la Ujerumani limekaa vikao kujadili mradi wa umeme wa Stiegler George kule Tanzania, na wakapiga kura ya kuupiga chini huo mradi. Hizi taarifa nimeshindwa kuzimeza maana zimenipa hasira, utani wa jadi pembeni, yaani wazungu wakalie vikao mradi ambao haupo hata kwenye bara lao huko Ulaya, kha Afrika kweli tuna shughuli, tena ndefu.
Maskini Watanzania, haya mjiandae kupokea amri kutoka kwa bwana mkuu, maana Mjerumani bado anawamiliki hata baada ya kusemekana kaachia enzi za ukoloni.
--------------------------------------
Ujerumani: Mradi wa umeme wa Tanzania wapigiwa kura bungeni
Bunge la Ujerumani limepitisha mswada wa kuitaka serikali ya Ujerumani itafute njia mbadala ya mradi wa Tanzania wa kuzalisha nishati ya umeme kwenye bonde la Stiegler ili kulinda turathi na asili.
Vyama vilivyomo katika serikali ya mseto ya Ujerumani vimeitaka serikali itafute njia nyingine badala ya ile ya mradi wa kuzalisha nishati ya umeme kwenye bonde la Stiegler kwenye mto rufiji kusini mwa Tanzania Wabunge wa vyama vya CDU/CSU, Kijani na AFD walishiriki katika kupiga kura hiyo lakini chama cha mrengo mkali wa kulia cha AfD, hakikushiriki. Azimio la vyama vya CDU,CSU na SPD pia linatokana na mapendekezo ya kamati ya serikali ya Ujerumani ya ushirikiano wa kiuchumi.
Azimio lililopitishwa bungeni na vyama hiyvo vilivyomo katika serikali ya mseto ya Ujerumani linaitaka serikali kuu isaidie katika masuluhisho ya kukidhi mahitaji ya nishati ya Tanzania bila ya kuathiri mazingira. Katika azimio lao vyama hivyo vimesema mradi huo mkubwa wa kuzalisha nishati ya umeme utavuruga mfumo wa mto mmojawapo mkubwa barani Afrika.
Tanzania inakusudia kujenga bwawa kubwa la kuzalisha nishati ya umeme kwa kutumia nguvu ya maji kutoka kwenye mto rufiji. Sehemu hiyo ni muhimu kwa shughuli za kilimo za wakaazi. Ikiwa mradi huo utaendelea mbele bonde la Stiegler ambalo limewekwa miongoni mwa turathi za shirika la Umoja wa mataifa la UNESCO litapoteza hadhi yake na huenda likasababisha athari kubwa katika raslimali zilizopo kwenye sehemu hiyo.
Katika ombi lao kwa serikali ya Ujerumani wabunge wa vyama vya CDU,CSU na SPD wamesema sehemu hiyo ya mbuga ya wanyama ya Selous nchini Tanzania ni eneo kubwa kabisa na kongwe la hifadhi ya wanyama pori barani Afrika.
Wabunge hao wamesema mradi huo wa bwawa la nishati utahitaji sehemu kubwa sana itakayotokana na kukatwa kwa miti na hivyo kusababisha athari kubwa katika mazingira, tabia nchi na katika uchumi.
Wabunge wa chama cha upinzani cha FDP wameshauri kujengwa kinu cha nishati kutokana na gesi kwa sababu Tanzania inayo gesi ya kutosha iliyogunduliwa hivi karibuni. Chama hicho cha upinzani cha FDP kilichopinga azimio hilo kimeitaka serikali ya Ujerumani ifanye mazungumzo na serikali ya Tanzania.
Mwandishi/Zainab Aziz/Daniel Pelz/DW Berlin
Mhariri: Yusuf Saumu
Ujerumani: Mradi wa umeme wa Tanzania wapigiwa kura bungeni | DW | 18.01.2019
Hahahaha...mkuu umesahau kumuuliza mbona katiba imeshindwa kuweka usalama wa taifa strong? Yaani Alshabab wanaingia Kenya na kufanya watakavyo as if ni Danguro,halafu yanapenda sifa makenya na kujitukuza hata kwenye hakunaHahahaha, ninyi mlioandika katiba mpya, nini kimebadilika katika kutatua shida za wananchi ambazo ni
1)poverty
2)Unemployment
3)Corruption
4)Crime
5)Tribalism
6)Slums
7)gap BTW rich and poorer
8)Nepotism
9)Land distribution
10)Police killings
Au ninyi mnadhani kuandika katiba kwa ajaili ya kuongeza political posts na kuongeza mzigo wa kodi kwa mwananchi bila output yoyote ni ufahari?, mbona mnalalamika kwamba Punda amechoka?. Failed state nothing works.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mito mikubwa kwa kipimo kipi?Unapozungumzia mito mikubwa Barani Africa hiyo ndiyo mikubwa...
1) River Nile - 6,650km
2) River Congo - 4,700km
3) River Niger - 4,200km
4) River Zambezi - 2,693km
5) River Ubangi - 2,270km
6) River Kasai - 2,153km
7) River Orange - 2,92km
8) River Limpopo - 1,800km
9) River Senegal - 1,600km
Alafu tuangalie:
River Rufiji unaousemea - 600km hichi ni ki-bwawa tuu
Tatizo bindamu wa siku hizi ni wabishi sana. Mnatetea hata ujinga.
Cc: mahondaw
ππππ Nishamsoma kitambo hana hili wala lile me mwenyewe Nilikua nimemuandalia nondo za fundamental govern laws lakini nikaona ni kama nitapakia mzigo wa semi trailer kwenye tray la mayai, I reserved.
kila kitu kina negative effects ..... hata dawa unazo kunywa pia zina negative effect zake... ko unacho pima ni faida ..kma umesoma uchumi au japo kupitia maswala ya kiuchumi kwa umakini utakua umepata picha ya ninacho ongea..mfano una eneo lako kama hekari moja una options mbili kulima mboga mboga na kulima miti... ukitumia robo ya eneo kulima mboga mboga basi robo tatu utalima miti and vice versa....sasa hapo utaangalia faida na hasra za machaguzi yako...kwa makadilio yangu mladi utalipa maana umeme huo tutakuwa na uwezo wa kuuza hata nchi za jiraniSina uhakika na hili ila kuna nadharia inasema nchi ya Qatar ukubwa wake ni sawa na mkoa wa Dar. Kwa ufupi Dar ni kubwa! Sasa kukata miti kwa eneo lenye ukubwa wa Dar ni hatari kubwa! Tujaalie hata ukubwa wa hicho kisiwa cha Unguja ila bado ni eneo kubwa sana. Yaani kana kwamba hatuna njia nyengine mbadala.
Gas si tunayo! Binafsi tahadhari aliyoitoa Mh. Nape ni yenye faida na ushauri waliyotoa Bunge la Ujerumani ni mzuri. Mbali na hayo Selou ni miongoni mwa mbuga za Taifa, Ila Magu ni Rais mwenye akili za ajabu.