Afrika kazi bado ipo, nimeshangaa kwamba Tanzania bado ni koloni la Ujerumani

Sio mzuri wa historia lakini inasemekana hawa jamaa baada ya kushindwa vita ya kwanza ya dunia na kuporwa koloni na mwingereza asilimia kubwa ya mali zao walizifukia na kuondoka na ramani tu,mali hizo mpaka leo huwa wanaziiba taratibu.

Inawezekana hata kwenye hilo bonde kuna utajiri wao wanangoja muda tu kuuchota sasa huo mradi wanaona utawatibulia.
 

Hakuna king'ang'anizi 'buku saba' yeyote unaweza kumuelimisha chochote, huwa hawaruhusiwi na wanakuwa monitored, akithubutu kuonyesha kulegea inamponza kiajira. Kwa hivyo anaweza kubisha ilmradi abishe tu, yaani hata kama mtakesha naye humu, hawa ni wa kuwapotezea.
Wakati unajadili naye uone ameanza kupinda, anatiririka pumba, hapo ndio unamuacha awe wa mwisho kujibu, usimjibu tena maana utakua unamtesa na kupoteza muda wako bure.
 
Hamfahamu hata historia ya nchi yenu? [emoji15] Kando na kufanya 'ammendments' kwenye katiba ya Tz. Chini ya mifumo mipya ya urais na hapo baadaye muungano na Zanzibar, watz hamjaandika katiba mpya tangu mpate uhuru kutoka kwa mkoloni.
Hahahaha, ninyi mlioandika katiba mpya, nini kimebadilika katika kutatua shida za wananchi ambazo ni
1)poverty
2)Unemployment
3)Corruption
4)Crime
5)Tribalism
6)Slums
7)gap BTW rich and poorer
8)Nepotism
9)Land distribution
10)Police killings

Au ninyi mnadhani kuandika katiba kwa ajaili ya kuongeza political posts na kuongeza mzigo wa kodi kwa mwananchi bila output yoyote ni ufahari?, mbona mnalalamika kwamba Punda amechoka?. Failed state nothing works.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahaaa haaa haaa
ndiyo mlivyofundishwa open university? tangu lini common law ikawa codified? unaposema uncodified law unamaanisha common law family ambayo asili yake ni uingereza.
codified ni civil law family which stems from Germanic law.

please kama siyo comparative lawyer and law philosopher bora upite kushoto.
 
Hawatatufanya lolote,na mradi utaendelea,wamepiga kura tu ili kujiridhisha,siye ni taifa huru
 
Hahahaha...mkuu umesahau kumuuliza mbona katiba imeshindwa kuweka usalama wa taifa strong? Yaani Alshabab wanaingia Kenya na kufanya watakavyo as if ni Danguro,halafu yanapenda sifa makenya na kujitukuza hata kwenye hakuna
 
Mito mikubwa kwa kipimo kipi?
 
Hayo ni mawazo yako
Hapa hakuna cha kupangiana ni cha kufanya project ya striglers rufiji
Inafanyika hakuna wa kuizuia!
Nyie mnataka tuendele kutumia umeme wa gas ili mtutoze malipo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nishamsoma kitambo hana hili wala lile me mwenyewe Nilikua nimemuandalia nondo za fundamental govern laws lakini nikaona ni kama nitapakia mzigo wa semi trailer kwenye tray la mayai, I reserved.

Ahaaa haaa haaa
yule mwanasheria mwitu Ibofwee mbona simuoni, kakimbilia wapi?

Ahaaa haaa haaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawa wazungu wababaishaji tu.wskati nchi inapata shida ya UMEME miaka ya karibuni binge lao halikukaa kutushsuri kujenga mfumo WA mkubwa WA UMEME WA gesi.Leo tunataka kuzalisha meg 2100 wanatoa mswazo .pigs chini mawazo yao .UMEME WA rufiji mbele kwa mbele TZ oyee
 
kila kitu kina negative effects ..... hata dawa unazo kunywa pia zina negative effect zake... ko unacho pima ni faida ..kma umesoma uchumi au japo kupitia maswala ya kiuchumi kwa umakini utakua umepata picha ya ninacho ongea..mfano una eneo lako kama hekari moja una options mbili kulima mboga mboga na kulima miti... ukitumia robo ya eneo kulima mboga mboga basi robo tatu utalima miti and vice versa....sasa hapo utaangalia faida na hasra za machaguzi yako...kwa makadilio yangu mladi utalipa maana umeme huo tutakuwa na uwezo wa kuuza hata nchi za jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…