Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu ya pili

Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu ya pili

Hii mitazamo ya kijinga mnaitoa wapi? DA inaungwa mkono na waafrika kusini sababu ya sera zake na wananchi sio wajinga walilinganisha hali ilivokua na ilivo sasa, ANC hii ya wala rushwa na mafisadi haina maajabu yoyote pale
Sera za DA zinakinzana na maazimio ya wengi SA na Afrika. DA huwa hawapiti 20% ya kura, Sasa hivi ANC ambayo unaita mafisadi imewapa uwezo wa kutawala SA yote na kuwa na uwezo mkubwa sana Afrika kwenye mambo kama BRICS na mambo yote ya nje. Kama ANC ni mafisadi, wote wengetolewa waweke EFF ama chama kingine kisicho kula rushwa.

Hata Vatican huwa wanakula rushwa na DA pia ni mafisadi.

ANC imejifunga milele na DA kwasababu haitawai pigiwa kura zaidi ya 50% na itabidi wakuwe wanaiba kura ili DA na ANC wabaki madarakani. ANC hawawezi kuipinga DA kwa sababu wakiipinga wanatolewa madarakani. Hivi sasa DA imerudi madarakani milele.
 
Back
Top Bottom