Afrika Kusini: Maandamano ya kupinga gharama za maisha yashika kasi

Afrika Kusini: Maandamano ya kupinga gharama za maisha yashika kasi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wafanyakazi nchini humo wameitisha maandamano nchi nzima kupinga kupanda kwa gharama za maisha na ukosefu wa ajira wakati ambao mfumuko wa bei ukifikia kiwango cha juu tangu mwaka 2009.

Maelfu ya wafanyakazi waliingia mitaani katika majimbo yote tisa kudai ruzuku ya msingi ya mapato, kima cha chini cha mshahara bora, na kikomo cha bei ya mafuta na viwango vya riba.

Pia wanataka matatizo yanayoendelea katika kampuni ya usambazaji umeme (ESKOM) inayomilikiwa na serikali yatatuliwe ili wafanyabiashara wasipoteze kazi kutokana na kukatika kwa umeme.

========================

Hundreds of South Africans protested in the executive and legislative capitals of Pretoria and Cape Town on Wednesday, against inflation that has soared to a 13-year high.

The protests were led by the trade union group Congress of South African Trade Unions (COSATU), a longtime ally of the governing African National Congress.

Union officials said more protesters were expected to join the marches as the day progressed, though it was not immediately clear if a call for a national shutdown to take place in more than 10 major cities would be successful.

The Department of Public Service and Administration said in a circular to government departments that state employees participating in the COSATU-led protests, which were supported by unions from other federations, would not be paid.

Protesters holding placards saying “Stop Taxing Basic Food Items” sang as they marched through central Pretoria towards Union Buildings, which houses the office of President Cyril Ramaphosa, a founding COSATU member.

In Cape Town, they marched towards Parliament.

Some complained that frequent power cuts by state power utility Eskom have hurt businesses.

“At the moment, I’m not coping because there is no work and at my age, I’m struggling,” said Helen Pont, 65, a former hotel receptionist, who was among protesters in Pretoria.

South Africa’s headline consumer inflation rose to an annual 7.8 percent in July, its highest level since 2009.

ALJAZEERA
 
Huko U.K napo wananchi wameanza mgomo-inflation tatizo.
Putin shikilia napo hapo
 
Bother alikuwa sahihi sana pale aliposema, "The gravest and unforgivable mistake that we should not do at all costs is to give the black person the right to rule this country."

Sasa pale walipokiuka kauli yake hiyo ndipo Afrika Kusini imekuwa taifa takataka sawa na akina Tanzania tu.
 
Back
Top Bottom