Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Mkuu mbona unateseka hivyo[emoji23][emoji23]Nimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
Koffi Olomide Ngoma zake za miaka ya hivi karibuni Abracadabra na Danger De Mort nazikubali sana!!Motomolo........
62yrs Sio Haba KakaDuu hatimaye koffi naye kawa mzee, muda unakwenda Kasi Sana aise
Mkuu mbona unateseka hivyo[emoji23][emoji23]
Nimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
[/QUOTm
Mbona congo kuna wanamuziki wengi tu ni nani aliyejaribu hata kufanya hayo uliyoyataja? Kwani ulivyo mu attack kana kwamba ni yeye pekee yake ndio hajaweza wasaidia wa congo!! Hapa Tz, kuna matajiri wangapi ambao kila kona ya nchi hii kuna tabu lakini mbona hakuna walichosaidia? Huyo Mo, kitu gani cha maana ambacho amesaidia hata akiwa mbunge wa singida? Huyo rostam azizi huko igunga alisaidia nini? Huyo diamond anamchango gani kwa maisha ya mwananchi wa kawaida? Hata kama jamaa ana mapungufu yake sio kwa povu hilo.
Mopao noma, Ukisikiliza vibao vya Magie, Loi, petit na London, Micko, Ultimatum aaaah utadhani vimefyatuliwa mwezi uliopita, Mopao dunia nyingine, acheni tu.
Papaa Mopao,, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake. Toka nimeanza kuifahamu albamu yake Maggie na kundi la Quartier Latin enzi nikiwa nimeanza shule ya msingi mpaka leo hii bado jamaa yupo ktk ubora wake ule ule. Kundi lake la Quartier Latin ambalo liliasisiwa kitambo hicho 1986 limetoa wasanii wengi sana wanaofanya vizuri kama Fally Ipupa, Ferre Golla nk ambao kwa sasa hawapo tena kundini, ila cha kufurahisha zaidi ni ule upendo na ushirikiano wanaoendelea kuoneshana baina yao kwa mfano mwaka 2016 Fally Ipupa aliorganize tamasha la 30th Annivessary ya lililokuwa kundi lao la Quartier Latin wasanii wengi waliopitia kundi hilo akiwemo the founder himself Papaa Mopao alishiriki vizuri sana. Ila Koffi Olomide Ngoma zake za miaka ya hivi karibuni Abracadabra na Danger De Mort nazikubali sana!Ana uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo zenye hisia na kumgusa kila mtu lkn fahamu kuna vijana chipukizi ambao wanatesa sana kwa nyimbo kali na zenye kusisimua. Usikilize wimbo "Rèalite wa Ferre na pacha wake Fally walizotoa hivi karibuni. Pia kuna wakali ambao hawafahamiki Afrika Mashariki sababu ya kutokuja kupiga show mfano mzee Felix Wazekwa mbona hapa Mopao lazima asimame kwa huyu mzee
Akili za kimaskini shida sana, sasa we unataka afanye mambo ya Serikali na yenyewe itafanya nn, we kama huna pesa zitafute ukimuombea Mabaya Koffi unapoteza muda wako bureNimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
Kama ni Ubakaji mbona huko South wanabakana sana, Wasichana hao Dancers wakati wanampa Koffi Mbunye hawakulalamika alivyowaondoa katika Band wakajifanya kufungua mashtaka miaka. Jiulize miaka yote walikuwa wapi?Matendo ya kofi ni kielelezo cha manyanyaso wanayo yapata wasaidizi wetu sisi Waafrika.
Mtu kumbaka na kumpiga housegirl anaona ni kitu cha kawaida.
Kuna ma bazazi yanawaharibu watoto wa kiume wanaowafanyia kazi. Unachukulia shida na matatizo yake kumlawiti ukijua hana ujanja wa kukataa.
Ni Wajinga Wachache Wanaoamini Kwamba Mwanamke Mwenye Akili Zake AnabakwaKama ni Ubakaji mbona huko South wanabakana sana, Wasichana hao Dancers wakati wanampa Koffi Mbunye hawakulalamika alivyowaondoa katika Band wakajifanya kufungua mashtaka miaka. Jiulize miaka yote walikuwa wapi?
Naweza kukulisha wewe na chaguD wako. Huwezi kunizuia kuelezea kile ambacho baba yako Koffi alivyo na jamii ya Congo inavyomchukulia bata weweAkili za kimaskini shida sana, sasa we unataka afanye mambo ya Serikali na yenyewe itafanya nn, we kama huna pesa zitafute ukimuombea Mabaya Koffi unapoteza muda wako bure
Naweza kukulisha wewe na chagudoa wako. Huwezi kunizuia kuelezea kile ambacho baba yako Koffi alivyo na jamii ya Congo inavyomchukulia bata wewe
Jamaa ana kipaji sanaPapaa Mopao,, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake. Toka nimeanza kuifahamu albamu yake Maggie na kundi la Quartier Latin enzi nikiwa nimeanza shule ya msingi mpaka leo hii bado jamaa yupo ktk ubora wake ule ule. Kundi lake la Quartier Latin ambalo liliasisiwa kitambo hicho 1986 limetoa wasanii wengi sana wanaofanya vizuri kama Fally Ipupa, Ferre Golla nk ambao kwa sasa hawapo tena kundini, ila cha kufurahisha zaidi ni ule upendo na ushirikiano wanaoendelea kuoneshana baina yao kwa mfano mwaka 2016 Fally Ipupa aliorganize tamasha la 30th Annivessary ya lililokuwa kundi lao la Quartier Latin wasanii wengi waliopitia kundi hilo akiwemo the founder himself Papaa Mopao alishiriki vizuri sana. Ila Koffi Olomide Ngoma zake za miaka ya hivi karibuni Abracadabra na Danger De Mort nazikubali sana!
Mtu anatoa mashine mwenyewe baadaye akiishiwa pesa anatengeneza kesi ya kubakwaNi Wajinga Wachache Wanaoamini Kwamba Mwanamke Mwenye Akili Zake Anabakwa