AFRIKA KUSINI: Matamasha ya Kofi Olomide yafutwa, atuhumiwa kwa kumbaka mnenguaji wake

AFRIKA KUSINI: Matamasha ya Kofi Olomide yafutwa, atuhumiwa kwa kumbaka mnenguaji wake

kofi anapenda sana ngono toka enzi hizo amemuoa mnenguaji wa bozi boziana bibie scola miel
 
Hivi Koffi bado wako na Cindy? Mara ya Mwisho nilimuona hapa France kwenye Tamasha La Le Live Wakiwa Wote na Olomide Didi pia alikuwepo
 
Nimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
Mkuu mbona unateseka hivyo[emoji23][emoji23]
 
Apart N Majanga Yanayompata Koffi Olomide Ambayo Ni Sehemu Ya Kawaida Kwa Mwanaume Yoyote Rijali, hakuna aliefanya consistency ya nyimbo nyingi kuwa juu kama koffi.Tukubali tu wakuu hakuna kama Koffi kwenye muziki wa boringo.
 
Duu hatimaye koffi naye kawa mzee, muda unakwenda Kasi Sana aise
 
Siku zote ukweli unauma mkuu hata mimi huyu mzee namfollow sana. Namchukia sana mtu asiyethamini asili yake. Leo tuna Mbwana Samatha lakini tayari anajenga msikiti kwa ajili ya Watz wezake japo ana uwezo wa kubadiri hata uraia na kubaki huko. Koffi alikuwa hakanyagi Ufaransa baada ya kuwa na kesi ya kujibu na alikuwa anaumia kiasi kwamba hata afya ilikuwa imeyumba siku anashinda kesi na kwa mara ya kwanza kukanyaga tena Paris alitamani kuibusu ardhi ya Ufaransa. Fuatilia mtu anaitwa Lubonji wa Lubonji ndipo huyu mzee utamfahamu zaidi.
Mkuu mbona unateseka hivyo[emoji23][emoji23]
 
Mopao noma, Ukisikiliza vibao vya Magie, Loi, petit na London, Micko, Ultimatum aaaah utadhani vimefyatuliwa mwezi uliopita, Mopao dunia nyingine, acheni tu.
 
Nimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
[/QUOTm
Mbona congo kuna wanamuziki wengi tu ni nani aliyejaribu hata kufanya hayo uliyoyataja? Kwani ulivyo mu attack kana kwamba ni yeye pekee yake ndio hajaweza wasaidia wa congo!! Hapa Tz, kuna matajiri wangapi ambao kila kona ya nchi hii kuna tabu lakini mbona hakuna walichosaidia? Huyo Mo, kitu gani cha maana ambacho amesaidia hata akiwa mbunge wa singida? Huyo rostam azizi huko igunga alisaidia nini? Huyo diamond anamchango gani kwa maisha ya mwananchi wa kawaida? Hata kama jamaa ana mapungufu yake sio kwa povu hilo.
 
Ana uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo zenye hisia na kumgusa kila mtu lkn fahamu kuna vijana chipukizi ambao wanatesa sana kwa nyimbo kali na zenye kusisimua. Usikilize wimbo "Rèalite wa Ferre na pacha wake Fally walizotoa hivi karibuni. Pia kuna wakali ambao hawafahamiki Afrika Mashariki sababu ya kutokuja kupiga show mfano mzee Felix Wazekwa mbona hapa Mopao lazima asimame kwa huyu mzee
Mopao noma, Ukisikiliza vibao vya Magie, Loi, petit na London, Micko, Ultimatum aaaah utadhani vimefyatuliwa mwezi uliopita, Mopao dunia nyingine, acheni tu.
 
Ana uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo zenye hisia na kumgusa kila mtu lkn fahamu kuna vijana chipukizi ambao wanatesa sana kwa nyimbo kali na zenye kusisimua. Usikilize wimbo "Rèalite wa Ferre na pacha wake Fally walizotoa hivi karibuni. Pia kuna wakali ambao hawafahamiki Afrika Mashariki sababu ya kutokuja kupiga show mfano mzee Felix Wazekwa mbona hapa Mopao lazima asimame kwa huyu mzee
Papaa Mopao,, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake. Toka nimeanza kuifahamu albamu yake Maggie na kundi la Quartier Latin enzi nikiwa nimeanza shule ya msingi mpaka leo hii bado jamaa yupo ktk ubora wake ule ule. Kundi lake la Quartier Latin ambalo liliasisiwa kitambo hicho 1986 limetoa wasanii wengi sana wanaofanya vizuri kama Fally Ipupa, Ferre Golla nk ambao kwa sasa hawapo tena kundini, ila cha kufurahisha zaidi ni ule upendo na ushirikiano wanaoendelea kuoneshana baina yao kwa mfano mwaka 2016 Fally Ipupa aliorganize tamasha la 30th Annivessary ya lililokuwa kundi lao la Quartier Latin wasanii wengi waliopitia kundi hilo akiwemo the founder himself Papaa Mopao alishiriki vizuri sana. Ila Koffi Olomide Ngoma zake za miaka ya hivi karibuni Abracadabra na Danger De Mort nazikubali sana!
 
Nimefurahi sana baada ya kupigwa ban kwa huyu mzee. Sababu ni hizi:
1. Nimegundua huyu mzee hana uchungu wowote na Congo na Wacongo wezake. Mfano: anatumia muda mwingi kujitanabaisha kama si raia wa Congo isipokuwa ni Mfaransa mweusi
2. Pamoja na utajiri mkubwa alionao kashindwa hata kununua boti hata ya mkopo kuwasaidia Wacongo wanaozama na kufa kwenye mto Congo kila kukicha. Tanzania tuna matajiri wa kujivunia kama AZAM Bhakharessa na boti zake za Dar to Zenj.
3. Wakati wanamziki wa Congo wakijikusanya kwa ajili ya mazishi ya mwanamziki Lutumba Simaro mzee asiye na busara Koffi katimkia Paris kula bata na bintie Didi Stone.
4. Moise Katumbi mmiliki wa TP Mazembe pamoja na kukataliwa kurudi DRC wakati wa utawala wa raisi aliyemaliza muda wake aliamua kukaa Afrika na sehemu aliyochagua ni Afrika Kusini
NB: Astaafu mziki na akaishi huko kwao Ufaransa
Akili za kimaskini shida sana, sasa we unataka afanye mambo ya Serikali na yenyewe itafanya nn, we kama huna pesa zitafute ukimuombea Mabaya Koffi unapoteza muda wako bure
 
Matendo ya kofi ni kielelezo cha manyanyaso wanayo yapata wasaidizi wetu sisi Waafrika.

Mtu kumbaka na kumpiga housegirl anaona ni kitu cha kawaida.

Kuna ma bazazi yanawaharibu watoto wa kiume wanaowafanyia kazi. Unachukulia shida na matatizo yake kumlawiti ukijua hana ujanja wa kukataa.
Kama ni Ubakaji mbona huko South wanabakana sana, Wasichana hao Dancers wakati wanampa Koffi Mbunye hawakulalamika alivyowaondoa katika Band wakajifanya kufungua mashtaka miaka. Jiulize miaka yote walikuwa wapi?
 
Kama ni Ubakaji mbona huko South wanabakana sana, Wasichana hao Dancers wakati wanampa Koffi Mbunye hawakulalamika alivyowaondoa katika Band wakajifanya kufungua mashtaka miaka. Jiulize miaka yote walikuwa wapi?
Ni Wajinga Wachache Wanaoamini Kwamba Mwanamke Mwenye Akili Zake Anabakwa
 
Akili za kimaskini shida sana, sasa we unataka afanye mambo ya Serikali na yenyewe itafanya nn, we kama huna pesa zitafute ukimuombea Mabaya Koffi unapoteza muda wako bure
Naweza kukulisha wewe na chaguD wako. Huwezi kunizuia kuelezea kile ambacho baba yako Koffi alivyo na jamii ya Congo inavyomchukulia bata wewe
 
Msenge we huna pesa, unaskini unakusumbua, watu mlio na ziki ndo hupenda kuombea mabaya wenye pesa. Fanya kazi umaskini unakutesa, hiyo roho mbaya ukipata pesa itakuisha
Naweza kukulisha wewe na chagudoa wako. Huwezi kunizuia kuelezea kile ambacho baba yako Koffi alivyo na jamii ya Congo inavyomchukulia bata wewe
 
Papaa Mopao,, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake. Toka nimeanza kuifahamu albamu yake Maggie na kundi la Quartier Latin enzi nikiwa nimeanza shule ya msingi mpaka leo hii bado jamaa yupo ktk ubora wake ule ule. Kundi lake la Quartier Latin ambalo liliasisiwa kitambo hicho 1986 limetoa wasanii wengi sana wanaofanya vizuri kama Fally Ipupa, Ferre Golla nk ambao kwa sasa hawapo tena kundini, ila cha kufurahisha zaidi ni ule upendo na ushirikiano wanaoendelea kuoneshana baina yao kwa mfano mwaka 2016 Fally Ipupa aliorganize tamasha la 30th Annivessary ya lililokuwa kundi lao la Quartier Latin wasanii wengi waliopitia kundi hilo akiwemo the founder himself Papaa Mopao alishiriki vizuri sana. Ila Koffi Olomide Ngoma zake za miaka ya hivi karibuni Abracadabra na Danger De Mort nazikubali sana!
Jamaa ana kipaji sana
 
Back
Top Bottom