GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
“Nataka Tanzania iwe kama Ulaya, nataka Nchi hii iwe kama Ulaya, sisi ndio tuwe tunatoa misaada na mipango hiyo tunayo na mipango hiyo imepangwa vizuri kupitia Ilani ya CCM” -JPM
East Africa Television - News
Kama Kauli hii imetolewa tu 'Kisiasa' zaidi kuelekea katika Kampeni za Uchaguzi huu ujao wa 2020 naikubali, ila kama ni ya Kweli ninamkatalia JPM.
East Africa Television - News
Kama Kauli hii imetolewa tu 'Kisiasa' zaidi kuelekea katika Kampeni za Uchaguzi huu ujao wa 2020 naikubali, ila kama ni ya Kweli ninamkatalia JPM.