Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Jana na juzi kitengo cha Propaganda cha CCM kilizua taarifa kuwa Rais wetu wa Tanzania amepewa tuzo ya amani ya Nelson Mandela. Mitandaoni na baadhi ya vyombo vya habari vikalitaja tukio hilo kwa sifa na mapambio wakati wewe Polepole na watumishi wako wa propaganda mkijua sio kweli na ni kumfedhehesha Rais kama mlivyofanya kwenye Tuzo ya FORBES na eti Trump wa US kamsifia kwa barua Rais.
Mjue mnapomtaja Rais ni kuwa mnaizungumzia Tanzania na aibu inakuwa ya nchi kwetu sote. Next time mkitaka kutangaziana vitu fake basi Polepole tunakuasa uandike hivi
"MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI JOHN MAGUFULI KATUNUKIWA TUZO YA so and so" ili hiyo aibu ya kujulikana ni uongo ibaki huko kwenye chama chenu mlicho zoea kudanganya na haitaihusu nchi.
Kuna tuzo nyingine nasikia amepewa(tetesi)
Ametunukiwa heshima ya ukakamavu na ukauzu.

Waliomtunuku ni "Bodi ya wadhamini ya wachimba makaburi duniani"
 
jamii forums na nyie mkaingia mkenge na ku post hii habari ya uongo
 
Kwani sio upinzani wanaoanzisha na kuipenyeza kwao pia?... eeeh kawaida yao shaaa

Ila inashangaza hata wa wizara ya habari hawachangamki.. naona watendaji wengi wanalala sana siku hivi.

JPM inabidi January awaamshe kwa njia nyingi tu.
 
By the way Mimi mtu akipata zero katika level yoyote (kidato cha 4 fa fa fa fa fa fa fa au kidato cha 6 , fa fa fa) kwenye matokeo yake ya mwisho daima sitakaa nimwamini kabisa mtu huyo.

Kwa hiyo sishangai kwa chochote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom