Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Kuna tuzo nyingine nasikia amepewa(tetesi)
Ametunukiwa heshima ya ukakamavu na ukauzu.

Waliomtunuku ni "Bodi ya wadhamini ya wachimba makaburi duniani"
 
jamii forums na nyie mkaingia mkenge na ku post hii habari ya uongo
 
Kwani sio upinzani wanaoanzisha na kuipenyeza kwao pia?... eeeh kawaida yao shaaa

Ila inashangaza hata wa wizara ya habari hawachangamki.. naona watendaji wengi wanalala sana siku hivi.

JPM inabidi January awaamshe kwa njia nyingi tu.
 
By the way Mimi mtu akipata zero katika level yoyote (kidato cha 4 fa fa fa fa fa fa fa au kidato cha 6 , fa fa fa) kwenye matokeo yake ya mwisho daima sitakaa nimwamini kabisa mtu huyo.

Kwa hiyo sishangai kwa chochote.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…