Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia

Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia

Ramaphosa yupo sahihi anachukua maeneo ambayo ayajaendelezwa kwa muda mrefu wameweka fensi tu unakuta mtu kaizungushia Mafinga yote harafu yeye yupo Ulaya miaka nenda rudi wao wanahitaji ardhi ya kilimo unakuta mtu mmoja kapiga pin kwa hili naenda na Rais maana kwenye umiliki huo wapo hata watu weusi wenye ardhi kubwa ambayo hawaifanyii kazi..
 
Rais wa S/Africa bwana Cyril Ramaphosa ametia Saini amri ya kisheria Kunyakua Ardhi kutoka Kwa Wazungu Bila fidia hatua ambayo imezua sintofahamu kutoka kwenye chama chake.

View: https://www.instagram.com/p/DFQCBSZouZ4/?igsh=bXZpdjl1dGMxNmI0

My Take
Huenda kilichotokea Zimbabwe kuwakuta na South Africa.

Ikumbukwe Zimbabwe imeamua kurejesha Ardhi Kwa Walowezi wa Kizungu.

Yetu macho,Trump ameanza kutema cheche huko 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFmkXftoD7q/?igsh=MWNpN2VnOXRwZ3NlMg==

Hapana sio kweli,sheria imepitishwa bungeni,na imeundwa tume ambayo ndio itakayosimamia uchukuliwaji wa ardhi toka kwa wazungu na kugawiwa waafrika,na kuna fidia na pia kuna option ya kwenda mahakamani iwapo mtu hataridhika na kiwango cha fidia
 
Rais wa S/Africa bwana Cyril Ramaphosa ametia Saini amri ya kisheria Kunyakua Ardhi kutoka Kwa Wazungu Bila fidia hatua ambayo imezua sintofahamu kutoka kwenye chama chake.

View: https://www.instagram.com/p/DFQCBSZouZ4/?igsh=bXZpdjl1dGMxNmI0

My Take
Huenda kilichotokea Zimbabwe kuwakuta na South Africa.

Ikumbukwe Zimbabwe imeamua kurejesha Ardhi Kwa Walowezi wa Kizungu.

Yetu macho,Trump ameanza kutema cheche huko 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFmkXftoD7q/?igsh=MWNpN2VnOXRwZ3NlMg==

Yatakuwa mambo ya Zimbabwe!
 
Wale wayahudi weusi, tuone wapo upande wa nani!! Wapalestina wakati wanapigania ardhi yao, wayahudi weusi walikua upande wa mayahudi wenzao
 
Back
Top Bottom