Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia

Ramaphosa yupo sahihi anachukua maeneo ambayo ayajaendelezwa kwa muda mrefu wameweka fensi tu unakuta mtu kaizungushia Mafinga yote harafu yeye yupo Ulaya miaka nenda rudi wao wanahitaji ardhi ya kilimo unakuta mtu mmoja kapiga pin kwa hili naenda na Rais maana kwenye umiliki huo wapo hata watu weusi wenye ardhi kubwa ambayo hawaifanyii kazi..
 
Hapana sio kweli,sheria imepitishwa bungeni,na imeundwa tume ambayo ndio itakayosimamia uchukuliwaji wa ardhi toka kwa wazungu na kugawiwa waafrika,na kuna fidia na pia kuna option ya kwenda mahakamani iwapo mtu hataridhika na kiwango cha fidia
 
Yatakuwa mambo ya Zimbabwe!
 
Wale wayahudi weusi, tuone wapo upande wa nani!! Wapalestina wakati wanapigania ardhi yao, wayahudi weusi walikua upande wa mayahudi wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…