Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
- Thread starter
- #21
Dada mmoja jirani yangu ni mfanyabiashara wa kuwahi soko mapema.Sisi tukisikia adhana twajitayarisha kwenda msikitini na yeye tunakutana njiani anawahi sokoni.Anajua akisikia adhana ni muda wa watu wema kuingia barabarani na vibaka kupumzika.Dah ...wengine hiyo ndiyo hutuamsha asubuhi "tupashe" [emoji2960]