Kwitogelo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 310
- 442
Wakuu habari za humu? Ni matumaini yangu wote hamjambo.
Leo nlikuwa napitia taarifa mbalimbali kwenye kiswaswadu changu nikakutana na taarifa ya mama kwenda kwa Madiba hii leo. Kwakweli mapokezi yale sijayapenda,yaani haiwezeknai Rais wa nchi anapkelewa na balozi wa nchi yetu hukohuko tena bila hata mwenyeji yeyote! .
Kwakweli kama ni dharau wasauzi mmetuonesha na binafsi sijapenda kabisa kwasababu Rais ni mtu mkubwa sana akiwa popote pale kwenye masuala ya kiitifaki na kiutawala.
Leo nlikuwa napitia taarifa mbalimbali kwenye kiswaswadu changu nikakutana na taarifa ya mama kwenda kwa Madiba hii leo. Kwakweli mapokezi yale sijayapenda,yaani haiwezeknai Rais wa nchi anapkelewa na balozi wa nchi yetu hukohuko tena bila hata mwenyeji yeyote! .
Kwakweli kama ni dharau wasauzi mmetuonesha na binafsi sijapenda kabisa kwasababu Rais ni mtu mkubwa sana akiwa popote pale kwenye masuala ya kiitifaki na kiutawala.