Afrika Kusini wameonesha dharau kwa Rais Samia

Afrika Kusini wameonesha dharau kwa Rais Samia

ALIFATA NN HUKO.kuna mambo mengi sana huku yamekaa hovyo..sisi huku tunafukuzwa kwenye hifadhi feki tumefungua kesi kesi enyewe inasikilizwa kimagumashi na jaji
 
Kabisa tena hilo ni swala la kawaida mambo ya hovyo yasiyo na tija kama semina hafla birthday party kwenye awamu hii.Ziara za hovyo zisizokuwa na umuhimu wala tija. Sasa kuhudhuria mikutano ya gesi ya ukaa umesikia Tanzania imekuwa industrial country kwamba ina chafua hewa?! Ndiyo maana kaishia kupokelewa na balozi wake 😂
Kilichoniuma ni hiyo ndege kuchana mawingu kilomita zoote hizo(sijui hata ni ngapi) halafu inapokelwa na wageni tena😎😎😎
 
Nadhani wameshamchoka, yeye kila siku ni kuzurura kwa wenzake ilhali wenzake wametulia kwenye nchi zao.
 
Kiitifaki kuna safari za wakuu wa nchi za aina nyingi.

Kuna state visit (formal, by invitation), kuna working visit. Zote zina itifaki tofauti.

Sasa, kabla ya kuanza kulaumu wa South Africa, inabidi tuulize, hii ni state visit au working visit?

Kwahyo serikali ya SA inawajibika kwenye issues gan kama rais wa nchi yupo kwenye nchi yao informally? (naweza kusema hivyo)
 
Kwahyo serikali ya SA inawajibika kwenye issues gan kama rais wa nchi yupo kwenye nchi yao informally? (naweza kusema hivyo)
Nchi inawajibika kwa usalama wa rais kwa mfano, kwa sababu huyo ni rais.

Lakini kwenye working visits, si lazima rais apokelewe na rais, na rais anaweza hata asionane kabisa na rais mwenzake.
 
Relax mtoa hoja,kama ni ujinga utaelimika ila kama ni upumbavu I can't help, hii ni normal protocol, our president amepokewa na SA Foreign Minister (Mrs Naledi Pandor, yupo very straight waziri huyu),ila our President atakapokwenda Union Bulding lazima atapokea na President CR, nothing wrong hapa mkuu, ila ninaungana nawe Nami nikiwa huku lingusenguse nafuatilia media za SA ni chache sana zinatangaza ziara hii,news 24 hawana kabisa Habari za Ujio huo
 
Relax mtoa hoja,kama ni ujinga utaelimika ila kama ni upumbavu I can't help, hii ni normal protocol, our president amepokewa na SA Foreign Minister (Mrs Naledi Pandor, yupo very straight waziri huyu),ila our President atakapokwenda Union Bulding lazima atapokea na President CR, nothing wrong hapa mkuu, ila ninaungana nawe Nami nikiwa huku lingusenguse nafuatilia media za SA ni chache sana zinatangaza ziara hii,news 24 hawana kabisa Habari za Ujio huo
Nashukuru kwa kuungana na mimi. TBC wanacho cha kujifunza kuhusu wageni wanaokuja hapa nchini hasa maraisi,yaani huwa tunakosa hata vipindi vya muhim kwahyo wajifunze kwamba hao wageni ni watu wa kupita tu
 
Back
Top Bottom