Afrika kusini wamtengenezea Brenda Fassie Sanamu ili kumuenzi, Tanzania inaweza kumtendea Msanii gani jambo hili?

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
Afrika Kusini imetengeneza sanamu ya mwanamuziki Brenda Fassie na kuiweka nje ya jumba la makumbusho, ili kumuenzi

Brenda Fassie ni mwanamuziki aliyetamba sana nchini South Africa na vibao kadha wakadha ikiwemo Vul’indlela na Weekend special Mwanamuziki huyu alizaliwa tarehe 3/11/1964 na alifariki 9/5/2004.



Swali langu;
Je, Tanzania yetu hii kulikuwa au kuna msaanii gani mbaye anaweza kuenziwa kwa heshima ya namna hii kama Brenda Fassie?
 
Kila mkoa ulitakiwa uwe na sanamu yake ya watu wanapenziwa, nashangaa sanamu ya Nyerere nmeiona Tanga na Dodoma tu, Yani kwa wenzetu sanamu za watu mashuhuri zipo almost kila mtaa.
 
Kila mkoa ulitakiwa uwe na sanamu yake ya watu wanapenziwa, nashangaa sanamu ya Nyerere nmeiona Tanga na Dodoma tu, Yani kwa wenzetu sanamu za watu mashuhuri zipo almost kila mtaa.
Umefika mikoa mingapi hapa nchini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…