Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MbeyaAwilo wa mbea
Mambo mabaya fisadi, fanya kamchakato basi.Hahahahaha hater mambo?
Kwetu mafisadi tunaishi kama mashetani sasa..Mambo mabaya fisadi, fanya kamchakato basi.
Na huwezi pata mshindi kati ya hawa,wote walikuwa malejendari haswaa.Wapigiwe kura kati ya ma legend hawa wawili, Mbaraka Mwinshehe na Marijani Rajabu.
Lakini bado hali sio mbaya kihivyo jamani, hebu usinibanie bwana. We huoni hadi na Dubai mwataka kwenda!!Kwetu mafisadi tunaishi kama mashetani sasa..
Sasa bi mkubwa huo umbeya sasa hahaha.. Hapo namdanganya danganya tu mtoto aingie lineLakini bado hali sio mbaya kihivyo jamani, hebu usinibanie bwana. We huoni hadi na Dubai mwataka kwenda!!
Anafunga ndoa wiki ijayo alafu unamrubuni!! Kweli bora muishi tu kama mashetani ili watoto wetu wabaki salama.Sasa bi mkubwa huo umbeya sasa hahaha.. Hapo namdanganya danganya tu mtoto aingie line
Huyu jamaa nikimkumbuka huaga nacheka aina za nyimbo zake!?Awilo wa mbea
Mkuu si ungetoa hata hiyo BMW yako unayotembelea heheheAh wapi kuna vijana wamemuwezesha mkwe na Kluger mimi nitaweza wapi!
Vyuma vimekaza nimeuza nimebaki na boxer BM 150!Mkuu si ungetoa hata hiyo BMW yako unayotembelea hehehe
Hahahahahaha hatari sana mkuu.. Mpaka 2020 utakuwa na phonexVyuma vimekaza nimeuza nimebaki na boxer BM 150!
We acha tu sasa naelewa ile kauli 'tutaishi kama mashetani'Hahahahahaha hatari sana mkuu.. Mpaka 2020 utakuwa na phonex
Daaah umenikumbusha mbali sana ulivyotaja hiyo kluger jamani.Ah wapi kuna vijana wamemuwezesha mkwe na Kluger mimi nitaweza wapi!