Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. CAF waliomba nchi wanachama wote wapeleke majina ya timu zitakazocheza CL na CC kila mwanachama kwa idadi yake na wakatoa deadline ya kupeleka majina hayoAfrika inachekesha sana kwa kigezo gani Al ahly wanashirik CAF CL hii ndio maana soka letu Afrika linashida kubwa.
Nilitegemea usubiri jibu la swali kabla ya kubeza kwamba soka la Afrika lina shida. Shukrani kwa Sima70 ambaye ametoa majibu mazuri na kwa mpangilio mzuri.Afrika inachekesha sana kwa kigezo gani Al ahly wanashirik CAF CL hii ndio maana soka letu Afrika linashida kubwa.
Aly Ahly siyo AL Hilal.Una nini lakini?Al Hilal ni timu kubwa..hata Tanzania ikija kutokea mazingira kama hayo TFF wala haitahangaika itapeleka jina la .....
Nime edit..Aly Ahly siyo AL Hilal.Una nini lakini?
Na wewe ni Al Ahly siyo Aly AhlyAly Ahly siyo AL Hilal.Una nini lakini?
Wala usi edit bana,acha wazowee kuona ili jina la wasudan watakao wapasua Uto huko caf.Nime edit..
eti Aly[emoji28][emoji23]kakosea kiduchu.Na wewe ni Al Ahly siyo Aly Ahly
Nilitegemea usubiri jibu la swali kabla ya kubeza kwamba soka la Afrika lina shida. Shukrani kwa Sima70 ambaye ametoa majibu mazuri na kwa mpangilio mzuri.
NB: Kuna kipindi Mwina Kaduguda akiwa Katibu Mkuu wa FAT aliamua kupeleka majina ya Simba na Mtibwa kushiriki michuano ya CAF baada ya kuona ligi ya Muungano (wakati huo ndio inatoa wawakilishi) itachelewa deadline, na CAF wakayapokea
Sasa hayo majibu mazuri ndio yanaondola hilo hitimisho la mtoa mada? Mimi bado naona kituko tu kwanini kusiwe na utarabu unaoeleweka kwamba ligi za chi wanachama wa CAF zisiishe kwa utaratibu ambao mambo kama haya hayajitokezi? Ulaya yapo mambo haya??
Huyo atakuwa msemaji wetu Ahmed amesema Simba wanacheza mechi ya kirafiki ya kimataifa na Al Ahaly badala ya kusema Al Hilal.Aly Ahly siyo AL Hilal.Una nini lakini?
Simba S. CAl Hilal ni timu kubwa..hata Tanzania ikija kutokea mazingira kama hayo TFF wala haitahangaika itapeleka jina la .....
Mleta mada aliuliza kigezo gani kilitumika al ahly kucheza CL ndio maana nikamjibu kwa ufasaha kabisaSasa hayo majibu mazuri ndio yanaondola hilo hitimisho la mtoa mada? Mimi bado naona kituko tu kwanini kusiwe na utarabu unaoeleweka kwamba ligi za chi wanachama wa CAF zisiishe kwa utaratibu ambao mambo kama haya hayajitokezi? Ulaya yapo mambo haya??