Usilete vitu vya Japani na Ujerumani, hampo kwenye level yao kabisa... tena mpo mbali sana.
jamaa ni choko!Huyu jamaa ni mjinga sana, yaani mpaka eti ufanye Mtihani wa Uingereza ndiyo uitwe actuarial blah blah, ni fikra za kitumwa hivi!
Wewe umesema ili uwe financial Mathematician ni lzm ufanya Mtihani wa Uingereza, ndiyo nikakuuliza hilo swali!
Wewe huko Kenya ni nani kwani? Na hayo mabanda ya DAr hjebu tuwekee nyumba unayoishi huko Kenya? Tuwekee na ya mabanda ya nguruwe kule Kibera ambayo wanishi watu kutoka taifa linalosemekana limmendelea EA kuliko mengineWacha unengwe jamaa, wewe unafikiria Kenya ipo mahali ilipo kama kiongozi kwa kila kitu Afrika ya Mashariki na Kati kwa kula ubwabwa na kubweteka kama mfanyavyo hapo kwenye mabanda ya Dar. Leo hii Kenya is the leader in banking and insurance industry the whole of East and Central Africa because of these scientists. Kaka soma, soma wacha uvivu, siku zote nawaambia humu....
Wamegundua nini mbona kila kitu mna import. Bora sisi kwenye orodha hiyo hatupo ila kuna jama kaunyesha uthubutu wa kutengeneza helcopte ijapokuwa kwenye kuruka ndio ikawa mtihani?????
Eti haifai kuishia kwenye digrii za kwetu bongo, ewe slave, usitusemee mioyo, haifai wewe na wakenya wenzako kuishia kwenye digrii za huko kwenu.Nimesema kulingana na taarifa 'To be qualified' lazima ufanye mitihani iliyoteuliwa, haufai kuishia kwenye digrii za hapo Bongo.
To become a Fellow of Actuarial Society or an Associate of the Actuarial Society you must pass certain examinations.
Najua sio kupenda kwenu kwamba hamuelewi kinachozungumziwa humu, uwezo wenu huwa mdogo sana katika kudadavua chochote.Eti haifai kuishia kwenye digrii za kwetu bongo, ewe slave, usitusemee mioyo, haifai wewe na wakenya wenzako kuishia kwenye digrii za huko kwenu.
We're comfortable with ours and we're working hard to improve them.
Actuarial is shit
Nawafahamu hao actutialist batch ya 2015 UDSM waliajiriwa na wakafanya hiyo mitihani ya bodi baadae. Suala Tz wapo sio kama unavyohubiri humu hawapo. Hiyo sio sawa labda ungesema hiyo program ilichelewa kuanza kwq Tz ntakuelewaNimesema kulingana na taarifa 'To be qualified' lazima ufanye mitihani iliyoteuliwa, haufai kuishia kwenye digrii za hapo Bongo.
To become a Fellow of Actuarial Society or an Associate of the Actuarial Society you must pass certain examinations.
Wewe umesema ili uwe financial Mathematician ni lzm ufanya Mtihani wa Uingereza, ndiyo nikakuuliza hilo swali!
Nawafahamu hao actutialist batch ya 2015 UDSM waliajiriwa na wakafanya hiyo mitihani ya bodi baadae. Suala Tz wapo sio kama unavyohubiri humu hawapo. Hiyo sio sawa labda ungesema hiyo program ilichelewa kuanza kwq Tz ntakuelewa
Aisee bro mbona unahangaika na waswahili jamani, mie huwaga ni kuwapa za usoni alafu mbele kwa mbele! Hehee kwa elimu yao naskia eti bashite pia ni acturial scientist apo dar!!! Mwafa![emoji2] [emoji2] [emoji90] [emoji90]Unawafahamu au huwafahamu hiyo sio shida yangu, nimesema na nimekomaa kwenye msimamo wangu kwamba lazima ufanye mtihani unaoratibiwa na kituo ambacho ni full member of International Actuarial Association. Kufanya mitihani ya kanyamba universities na kupataa digrii haijatosha kuwa qualified. Hilo nitawasisitizia mpaka liwaingie, muache kukurupuka na kusoma kwa makini taarifa zinasema nini.
Hadi muonyeshe ushahidi wa hao mashujaa wenu waliokidhi vigezo, itabaki kuwa stori basi. Mkwangue Google yote, mpige masimu na kuwafuata mpaka kitaa walipo. Msimamo upo pale, mtatukana kwa kuishiwa lakini ndio shindano itakua inawaingia.
sawa ni actuarial but according tu jamaa hapo... ili kuwa actuarial ambaye ni competetive atleast afanye iyo mitihani iliyoinidhishwa na bwana mkubwa hapo juu" in addition ni kwamba iyo bachelor moja waliyoipata inawafanya waonekane wa kawaida tu compare to othersmhhh!!! mbona mie kaka yangu actuarial scientist na ni mtanzania
MK254 mbona povu hivyo? [emoji23]Wacha unengwe jamaa, wewe unafikiria Kenya ipo mahali ilipo kama kiongozi kwa kila kitu Afrika ya Mashariki na Kati kwa kula ubwabwa na kubweteka kama mfanyavyo hapo kwenye mabanda ya Dar. Leo hii Kenya is the leader in banking and insurance industry the whole of East and Central Africa because of these scientists. Kaka soma, soma wacha uvivu, siku zote nawaambia humu....