Afrika Mashariki ni nchi gani wanaongea Kiingereza vizuri?

Afrika Mashariki ni nchi gani wanaongea Kiingereza vizuri?

Inategemeana na Lafudhi ya mtu ambayo hutegemeana na Lugha ya asili ya mtu, na wala haitegemeni na nchi

Lafudhi inaamua kama uongee kwa mikogo au la. Ufasaha wa lugha ni kutamka msamiati wake vema na kutokosea miundo, bhaaasi!
 
Pronunciation has nothing to do with Standard English.
 
Back
Top Bottom