AFRIKA NJAA INATUMALIZA?ULAFI UNATUDUMAZA!TUZINDUKE.

AFRIKA NJAA INATUMALIZA?ULAFI UNATUDUMAZA!TUZINDUKE.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Salaam kwenu Njaa hutafuna chango ila athari yake hudumaza fikra na ukomavu wa akili usipokuwa makini unaweza ukauza utu wako sababu ya 'sent 5' . Mamlaka za utendaji zimekaliwa na 'walala hoi' fikra zao ni umimi na familia yake na hatujui kabisa dunia ni duara tunapofanya maamuzi kwa kufumba macho athari haimpati mwananchi hata pia kizazi chako kitakuja kupata shurba'ukiwaruhusu wachina wavue samaki watatumia mabomu athari itazunguka ',ukiruhusu msitu utumiwe kwa mahitaji mengine anga haitakuwa salama, na kama ukitoa chochote pasipo fikra basi tutakachokipata ni sote.
 
N kweli mkuu


Japo sijaelewa ulchoandka,nmejiongeza tu kufkir ulchomaanisha
 
Back
Top Bottom