Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.