Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
Mkuu, unajenga hoja kwa kutumia wrong statistical data. Tafuta data zinazoonesha foreign aid to Africa by major donor country. Obviously, the United States is the largest source of foreign aid to Africa!View attachment 3239613
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
USAID na misaada kutoka US ni tofauti.View attachment 3239613
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
Kuna mawili, ama mleta uzi haelewi maana ya USAID na misaada ya US, au anaelewa ila kaamua kupotosha.Mkuu, unajenga hoja kwa kutumia wrong statistical data. Tafuta data zinazoonesha foreign aid to Africa by major donor country. Obviously, the United States is the largest source of foreign aid to Africa!
Ingawa takwimu unazotumia zinaonesha U.S. foreign aid to Africa ni ndogo kuliko U.S. foreign aid to other continents, bado hiyo kidogo ni kubwa kuliko any other country’s foreign aid to Africa.
Ukiibariki Israel utabarikiwa. Na ukiilaan Israel UTALAANIWA. Marekani anaendelea tu kukusanya mibaraka za kutosha.View attachment 3239613
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
Mlete mada kuna vitu kadhaa huvielewi kuhusu US, USAID na Executive Order ya Trump. Rudi darasani!View attachment 3239613
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
Next time usikurupuke, kuna tofauti kubwa ya USAID na Us foreign aidView attachment 3239613
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
Baada ya kugugugugu; nimeona mambo mawili yafuatayo;Mkuu, unajenga hoja kwa kutumia wrong statistical data. Tafuta data zinazoonesha foreign aid to Africa by major donor country. Obviously, the United States is the largest source of foreign aid to Africa!
Ingawa takwimu unazotumia zinaonesha U.S. foreign aid to Africa ni ndogo kuliko U.S. foreign aid to other continents, bado hiyo kidogo ni kubwa kuliko any other country’s foreign aid to Africa.
Kwa kipindi hicho, other major donor countries wametoa kiasi gani kila mmoja?Baada ya kugugugugu; nimeona mambo mawili yafuatayo;
a) Marekani kwa miaka 30 iliyopita imetoa kwa Africa Jumla ya Dollar Trillion 1.2.
b) Afrika ina jumla ya nchi 54.
Kisha nikapiga hesabu zangu za kishuleshule hivi;
1,200,000,000,000 ÷30 ÷ 54 = 740,740,740.740
Kwahiyo, kwa miaka 30 Marekani imekuwa ikitoa Dollar milioni 740,740,740.740 kwa kila nchi kwa kila mwaka kwa miaka 30. Lakini hapo ijumlishe na Egypt inayokula "lion share" ya misaada ya Marekani duniani.
Ngoja nigugu tena.Kwa kipindi hicho, other major donor countries wametoa kiasi gani kila mmoja?
Kwa akili zako fupi unazamia USAID ndio misaada yote unapitia kwao?Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya.
Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano Africa. Na vile vile sisi Waafrica wenyewe tumekuwa tukilia lia kuliko wanufaika wakubwa kama ninavyo soma kwenye SM na pia MSM.
Hawa ni wale Form four Droup , baada ya kumilik smart phone sasa wamekuja humu kupost ujingaNext time usikurupuke, kuna tofauti kubwa ya USAID na Us foreign aid