Afadhali umeanza "kama fedha zipo" . Haya magari hata matajiri wanaotupa hiyo mikopo na misaada ni nadra kutumia. Ungejisikiaje ukimuona maskini aliyekuja kukuomba fedha ya chakula akikata wine na whisk kwa ule msaada wako? Halafu anaishiwa tena anarudi tena kukuomba anafanya vivyo hivyo?!!Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Siwezi.nikajadili kitu ambacho tayari nimesema kipo.nje ya mada....and Rhetorical.Hizi hasira zingeleta tija sana kama ungeweza kutoa sababu za kwanini watu wanafikiria kuji starehesha kwkaupitia kodi za umma zaidi badala ya kutumia nafasi hizo kuondoa hao ambao wana fight hizo classes
Ushauri wako umetekelezwa. Hizo LC 200 series za bei ya TSh 600 million before tax ni armored, ni sawa na ile anayotembelea raisi Ruto wa Kenya. Tanzania tuko vizuri kwenye uchumi wa kati.mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
Enzi za Nyerere gari nyingi zilikuwa European carsUko sawa kusema "Walikuwa Wananuliwa Defenders" Waingereza ndio Wanunuaji wakuu....nikimaanisha mengi yalikuwa ya Misaada, mengi yalikuja kwa ajili ya Project zao ma walipomaliza magari hayo mengi yakanyakuliwa Serikalini!
Niongeze tu...Wakati wa Nyerere, ukiona gari zuri ujue hilo limetoka katika Balozi zetu nje... au Zawadi?.
Sina chuki mkuu hata mie nikipata nafasi natumbua tu.Dah babu tufanye shughuli zingine,chuki kwa maofisa wa serikali hazitusaidii
Polisi walikuwa wanatumia VW,land-roversBasi walikuwa na project nyingi sana mie kumbukumbu zangu nyumba za vigogo nyingi zilikuwa na Defenders na ata polisi magari yao yalikuwa Defenders.
Wanapesa za kutumiaNimeona Jaji ana LC300.
Plate namba J
Huyu anasafiri kwenda wapi huyu?
Tunaona vitu kwa ground. LC300 zimetapakaa mno. Ni kitu kinanishangaza sana. Usitumie muktadha mmoja kujaribu kuelezea kila kitu.
Hakuna rationalization ya kununua LC300 zaidi ya prestige. There is always a better way.
We mwenyewe hapo ukipewa LC 300Ni hivi kwa perspective ya judges, na wao kama watu muhimu kwenye jamii. Bila ya kupewa lakuchumpa (4x4 lugha ya zamani) wakati mpaka maafisa elimu wanayo serikali inaweza ona kama ime dharau kada ya sheria.
It comes with the territory.
Humu watu wanapinga,ila ikitokea wao wakapewa hayo ma.lc300 sijuiSina chuki mkuu hata mie nikipata nafasi natumbua tu.
Hahaha, corona ya kuzima umeme wa moyo..?Bahati nzuri utakuwa raisi ambaye atahudumu kwa muda mfupi mno. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kabla Corona ya mchongo haijalala mbele na wewe.
Uliwahi kubahatika kumuonaga baloziYes kama una uwezo wa kulipa, kopa tuu, why not?.
P
Raha ni baraka kama inaendana na resources ambazo unazo kujipatia hiyo rahaSema ni watu hawajui tuu kuwa kusudi la Mungu kumuumba binadamu, ni ili binadamu apate raha!. Raha ni baraka na shida ni laana!.
Kama ulivyo utajiri ni baraka, umasikini no laana!.
P
OngezeaBado m DC, mawaziri, RAS, DAS, DED, PM, rais mwenyewe na convoy lake
IST, Peugeot, Suzuki VitaraSo mkuu wa mkoa atembelee gari gani?..pendekeza
No sikuwahi kubahatika kuona gari ya Balozi yoyote ukiachilia kusikia tuu gari aliyopata nayo ajali Balozi Mushi. Hebu tueleze tuu hiyo ya Balozi Lukindo.Uliwahi kubahatika kumuonaga balozi
Wa tz Japan ,R.lukindo(RIP)
Mambo ya kitambo lkn,ukuonaga Mercedes benz yake aliyokuwa anatumiaga
Kweli ukipata tumbua tu
Ova
Eeh Corona ya Cardiovascular arrest🤣🤣🤣Hahaha, corona ya kuzima umeme wa moyo..?
Nilikua nakuheshimu sana kumbe mda mwingine huwa unawaza kwa kutumia makalio[emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy!. Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.
P
Hii sasa kimuundo inatofautianaje na Probox ukiacha size na vinginevyo?Mtu kazaliwa kijijini, kakulia chumba kimoja na mbuzi leo ana madaraka anataka atembelee gari ya million 600, ambayo hajaitolea jasho, ni kodi za maskini wenzake.View attachment 2476045View attachment 2476044
Hii gari ina 800 cylinders na 100 pistonsWe jamaa wakati akili zinagaiwa ulikuwa kwa Mpalanger ukipalanga!
Hii gari ina 800 cylinders na 100 pistons mafuta ya kuiwasha tu ni budget ya IST ya miezi sita! Reserve yake gari inatoka Dar hadi Dom!
In short wewe unawaza gharama za maintenance ambayo ni mara moja tu kwa mwezi wakati sisi tunawaza
1. Sisi tunawaza viongozi wetu wengi ni washamba wamezaliwa bush wanatafuta sifa kwa kununua magari ya bei mbaya kwa kodi za maskini.
2. Nchi inapoteza mabilioni kwa kununua magari makubwa pesa ambazo zingefanya mambo mengine ya maana zaidi
3. Bei ya kuzinunua hizo gari ni kubwa mno ila fikra zetu haziko huko
4. mafuta ya kuziendesha hizo gari ambazo ziko nchi nzima ni pesa nyingi mno ya kujenga Nyerere Dam kumi
5. Our thinking is corrupt , brainwashed and primitive!
6. Nchi hii imejaa wajinga wengi maisha magumu ajira hakuna na rasilimali zao zinachezewa mbele ya macho yao ila hawaoni!
7. Kizazi Cha majizi kimebakiza 30 to 40 years mengi yanayopenda gari hizi ni mazee yalizaliwa bush na yako jioni Sasa muda wa vijana kula nchi yao uko jirani
What next?
Huyu jamaa ki umri ni mtu mzima, mpe heshima yake, hata kama anatafta uteuzi we mpe heshima yake tuu 🤠Nilikua nakuheshimu sana kumbe mda mwingine huwa unawaza kwa kutumia makalio[emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]