We jamaa wakati akili zinagaiwa ulikuwa kwa Mpalanger ukipalanga!
Hii gari ina 800 cylinders na 100 pistons mafuta ya kuiwasha tu ni budget ya IST ya miezi sita! Reserve yake gari inatoka Dar hadi Dom!
In short wewe unawaza gharama za maintenance ambayo ni mara moja tu kwa mwezi wakati sisi tunawaza
1. Sisi tunawaza viongozi wetu wengi ni washamba wamezaliwa bush wanatafuta sifa kwa kununua magari ya bei mbaya kwa kodi za maskini.
2. Nchi inapoteza mabilioni kwa kununua magari makubwa pesa ambazo zingefanya mambo mengine ya maana zaidi
3. Bei ya kuzinunua hizo gari ni kubwa mno ila fikra zetu haziko huko
4. mafuta ya kuziendesha hizo gari ambazo ziko nchi nzima ni pesa nyingi mno ya kujenga Nyerere Dam kumi
5. Our thinking is corrupt , brainwashed and primitive!
6. Nchi hii imejaa wajinga wengi maisha magumu ajira hakuna na rasilimali zao zinachezewa mbele ya macho yao ila hawaoni!
7. Kizazi Cha majizi kimebakiza 30 to 40 years mengi yanayopenda gari hizi ni mazee yalizaliwa bush na yako jioni Sasa muda wa vijana kula nchi yao uko jirani
What next?