Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Zuga hata engine ya articulate dump truck haina piston hizo 🤠🤠
 
Hao watoto wazembe siku hizi hwana zamu za kusafisha vyoo? Au vimejaa
 
We mwenyewe hapo ukipewa LC 300
Sijui...pigwa kiyoyozi....ofisini kiuoyozi
Unafunguliwa mlango wa gari wakati unatoka,ukiingia unafunguliwa...
Humu hatutakuona tena [emoji1]
Muulize pole×2 anaijua v8

Ova
I prefer to ride my bicycle sio mazur hayo.ukipigwa na ubarid toka home mpaka oficen.unapanda lift ngaz hupand.unafika unapigwa na a.c tena saa saba unaenda kula unarud na soda yako unapiga piga kaz jion unarudishwa na gar a.c juu ukifika unakula wali unawasha a.c.unaenda kulala
No hujaona wazir mkuwe wa Denmark anaend ofisn nq baskel
 
Kwa kiuhalisia, shida ni wivu.
Kwa kiuhalisia, shida ni porojo.
Kwa kiuhalisia, shida ni Uwongo wa Kupandikiza.

Hayo mabilioni hata hawa manabii uchwara kwa mabakuli yao tu....V.800??? Kibao. Sembuse serikali.

Mbadala unaoletwa ni wa kukejeli, wa kuduwaza kama sio kudumaza. Porojo tu

Inanishangaza, kuona baadhi ya wanahudhuri na viherehere vyao, Ati, kwa sababu Hao Viongozi ni Masikini, wametoka vijijini, washamba n.k basi V.8 haziwafai- Ni wivu tu huo.

Wanavyo linganisha na kutofautisha-mtu au Kiongozi katoka wapi; na Gari anayostahili tena kwa lugha ya ukimbari ni karaha tupu! Wivu tu huo tena wa kukaripiwa. Wanapeana dole tupu Aaati?

Mwisho wa siku hakuna anayeleta mbadala bila kejeli au mbadala usio na kejel au dhihaki- halafu ndio unategemea Serikali iwatilie maanani? Tunapandikiza chuki tu

Kama ni vya kujadiliwa, viwe vinajikita kwenye mchakato mzima wa upatikanaji wa hayo Magari au? Mie naona humo ndio kuna hitilafu.

Kuna jamaa amesema miaka ya nyuma tulikuwa na 'European cars' Je anajua kwa nini ilikuwa rahisi kupatikana kwa magari hayo? Unajua Tanganyika motors? Unajua kwa nini Serikali ilitumia TM? Kwanini walibadilisha?
Eniweyi nimetupia tu hilo mtajijiju.

Kiuhalisia hakuna Serikali isiyokuwa na Matumizi- Yeyote ile, hata NGO's

Kiuhalisia inakuwa vizuri Serikali kujitathmini kila baada ya mda kuona kama kuna ulazima wa kuwa na hayo Magari yenye, kama wengi wanavyodai ni ya Kifahari mno na wala hayamfai.mtu aliyotoka Kijijini. Pathetic fikra gani hizo???

Kitaeleweka.
Yaani Blangeti Kubwa Afrika....halafu unaonyeshwa Toyota ya R.C Tanzania wapi na wapi?

Nape tunakuomba wewe na Kamati yako mfanye kazi kwa Haraka. Najua unalo Kabrasha la kulimwaga Davos.

Mtujuze
 
Wewe ona wivu mwenzako anakula maisha
Live updates gari ipo viunga vya arusha Phillips muda huu
 
kuna watu wanashindwaga kumuelewa paskal..... ili kumuelewa inabidi at least ufike form six [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
he speaks the opposite of what he believes (mnaisemaje kwa kiingereza kizuri vile)
 
Hili nalo ni tatizo kwa awamu zote magari ya kifahali; ningekuwa mimi ningetumia Landover 110 Defender kwa watumishi wote wa umma. Hutaki nunua la kwako ila tutakupatia dereva wetu.

Defender mpya kabisa ya 2022 ni $50,000 = Mil 110m.
Pesa ya kununulia hizo Defender 6 inakwenda kununua V8 moja pekee !!
 
Landcruiser mkonga inafanya yote hayo tena zaidi ya hapo. Mpya 0 km ni mil 200

Hata hivyo nakubaliana na kutumiwa V8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…