https://www.facebook.com/
Baada ya kuyapiga picha mjini, kuna upande mwingine hayo Magari yanaenda. Njia mvua ikinyesha mtihani. Hapo walikwama kwa masaa mawili.
Ukiweka magari ambayo siyo imara hakuna sehemu watafika kwa wakati na udhani kama hayo magari yenyewe yatamudu.
Kwa kuangalia tu hizi ziara zao haya magari ya viongozi hasa mawaziri sitoshangaa kabisa kama kwa mwaka yanapiga zaidi ya 10000 miles +.
Kasheshe uwe una ziara ya week halafu gari sio comfortable na hayo makongoro ya njiani sio muda unatengua kiuno na safari yenyewe inakuwa ngumu ukifika kwenye hiyo ziara ata kwenye kazi inaweza kuwa shida.
Halafu hilo gari alifiki tsh 600 million