Afrika tunapaswa kubadilisha makanisa na misikiti kuwa viwanda

Afrika tunapaswa kubadilisha makanisa na misikiti kuwa viwanda

mkushite

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
666
Reaction score
1,619
Kitu cha kwanza kinachofunga akili na kudumaza jitihada za maendeleo ya mtu mweusi ni imani( za dini na uchawi).

Imani haiwezi jenga barabara, jenga hospital, tengeneza gari, Leta siasa safi wa haiwezi ondoa ufisadi n.k

Na huu ugonjwa wa dini au imani unatumiwa sana na washindani wetu ili kutupunguza speed za maendeleo ili tuendelee kuwa mazwazwa na kuwategemea wao.

Mfano, Haiwezekani wewe mmatumbi utetee unyonyaji wa mwarabu apewe raslimali zote eti kisa ni muislam, na akionekana yeyote anapinga kwa hoja unamuona kafiri.

Waafrika masikini wana uwezo wa kuchanga kidogo kidogo mpaka kujenga msikiti na kanisa kubwa sana la mabilioni ili siku nyingine waje kupeleka pesa ya maombi, kuomba kazi na pesa. Hivi kweli tuna akili?

Kama tungefanya hivyo kuchanga kidogo kidogo na kutengeneza viwanda vidogo vidogo tungekuwa mbali sana kimaendeleo na watoto wetu wasinge angaika kutafuta ajira mtaani.

Kwa asilimia kubwa haya makanisa na misikiti tumejenga kwa nguvu zetu wenyewe, tubadilishe majengo hayo kuwa masoko na viwanda vya uzalishaji.
 
Kitu cha kwanza kinachofunga akili na kudumaza jitihada za maendeleo ya mtu mweusi ni imani( za dini na uchawi).

Imani haiwezi jenga barabara, jenga hospital, tengeneza gari, Leta siasa safi wa haiwezi ondoa ufisadi n.k

Na huu ugonjwa wa dini au imani unatumiwa sana na washindani wetu ili kutupunguza speed za maendeleo ili tuendelee kuwa mazwazwa na kuwategemea wao.

Mfano, Haiwezekani wewe mmatumbi utetee unyonyaji wa mwarabu apewe raslimali zote eti kisa ni muislam, na akionekana yeyote anapinga kwa hoja unamuona kafiri.

Waafrika masikini wana uwezo wa kuchanga kidogo kidogo mpaka kujenga msikiti na kanisa kubwa sana la mabilioni ili siku nyingine waje kupeleka pesa ya maombi, kuomba kazi na pesa. Hivi kweli tuna akili?

Kama tungefanya hivyo kuchanga kidogo kidogo na kutengeneza viwanda vidogo vidogo tungekuwa mbali sana kimaendeleo na watoto wetu wasinge angaika kutafuta ajira mtaani.

Kwa asilimia kubwa haya makanisa na misikiti tumejenga kwa nguvu zetu wenyewe, tubadilishe majengo hayo kuwa masoko na viwanda vya uzalishaji.
Imani ni shambulio la akili.

Imani ni psychological problem
 
Kitu cha kwanza kinachofunga akili na kudumaza jitihada za maendeleo ya mtu mweusi ni imani( za dini na uchawi).

Imani haiwezi jenga barabara, jenga hospital, tengeneza gari, Leta siasa safi wa haiwezi ondoa ufisadi n.k

Na huu ugonjwa wa dini au imani unatumiwa sana na washindani wetu ili kutupunguza speed za maendeleo ili tuendelee kuwa mazwazwa na kuwategemea wao.

Mfano, Haiwezekani wewe mmatumbi utetee unyonyaji wa mwarabu apewe raslimali zote eti kisa ni muislam, na akionekana yeyote anapinga kwa hoja unamuona kafiri.

Waafrika masikini wana uwezo wa kuchanga kidogo kidogo mpaka kujenga msikiti na kanisa kubwa sana la mabilioni ili siku nyingine waje kupeleka pesa ya maombi, kuomba kazi na pesa. Hivi kweli tuna akili?

Kama tungefanya hivyo kuchanga kidogo kidogo na kutengeneza viwanda vidogo vidogo tungekuwa mbali sana kimaendeleo na watoto wetu wasinge angaika kutafuta ajira mtaani.

Kwa asilimia kubwa haya makanisa na misikiti tumejenga kwa nguvu zetu wenyewe, tubadilishe majengo hayo kuwa masoko na viwanda vya uzalishaji.
Hii hoja yako hakika imekaa mkao wa kupunguza na Ina ukweli mtupu.


Hivi unajua morali ya mtu anaeaminoshwa😂
 
Atheism....one among of the mental illnesse!


Africa sisi ni wavivu tu dini sio sababu kwani huko china hakuna ubudha na mambo yakaenda?

In short deen can be defined as desturi za watu Wa flani, nimedefine hivi ili tuelewane vizuri na atheist, kwani kuna nchi au sehemu hawana tamaduni?? Au kuna mtu anaishi bila kufuata tamaduni flani, au taratibu flani anazozifuata personally?? Hakuna, hayupo, kila mtu ana mfumo wake flani anaoufuata tena daily

Mwingine ataamka alfajiri, atafanya running, atafanya physical exercise ataoga ataenda kazini, huko kazini atatafuta muda atasoma page kadhaa za kitabu flani, au online course flani, jioni labda atapiga push up amara atafanya kile na utakuta hufanya hivyo Mara kwa Mara, ndio mfumo wake, desturi yake vivo hivyo kwa watu Wa dini ndio desturi zao kutafuta sometime to what they believe wakafanya ibada kidogo

Kwahiyo mtu asiefanya kazi na kujikwamua kwasababu ya dini huyo anasingizia dini(nasimami ibrahamic religion maana ndio nazijua sana na ndio zipo kwa kiasi kikubwa sana hapa kwetu Tanzania)kwa sababu watu kama marehemu mengi na akina SSB mbona ni kiigizo kizuri tu, Ni watu Wa dini na hata aliekwisha tangulia mengi alikuwa mtu Wa dini ila akiwa as chairman pale IPP ni kuchapa kazi


Din itself inahitaji pesa ili harakati ziendelee!
 
Kitu cha kwanza kinachofunga akili na kudumaza jitihada za maendeleo ya mtu mweusi ni imani( za dini na uchawi).

Imani haiwezi jenga barabara, jenga hospital, tengeneza gari, Leta siasa safi wa haiwezi ondoa ufisadi n.k

Na huu ugonjwa wa dini au imani unatumiwa sana na washindani wetu ili kutupunguza speed za maendeleo ili tuendelee kuwa mazwazwa na kuwategemea wao.

Mfano, Haiwezekani wewe mmatumbi utetee unyonyaji wa mwarabu apewe raslimali zote eti kisa ni muislam, na akionekana yeyote anapinga kwa hoja unamuona kafiri.

Waafrika masikini wana uwezo wa kuchanga kidogo kidogo mpaka kujenga msikiti na kanisa kubwa sana la mabilioni ili siku nyingine waje kupeleka pesa ya maombi, kuomba kazi na pesa. Hivi kweli tuna akili?

Kama tungefanya hivyo kuchanga kidogo kidogo na kutengeneza viwanda vidogo vidogo tungekuwa mbali sana kimaendeleo na watoto wetu wasinge angaika kutafuta ajira mtaani.

Kwa asilimia kubwa haya makanisa na misikiti tumejenga kwa nguvu zetu wenyewe, tubadilishe majengo hayo kuwa masoko na viwanda vya uzalishaji.
Umenena vyema Mkuu.
 
Atheism....one among of the mental illnesse!


Africa sisi ni wavivu tu dini sio sababu kwani huko china hakuna ubudha na mambo yakaenda?

In short deen can be defined as desturi za watu Wa flani, nimedefine hivi ili tuelewane vizuri na atheist, kwani kuna nchi au sehemu hawana tamaduni?? Au kuna mtu anaishi bila kufuata tamaduni flani, au taratibu flani anazozifuata personally?? Hakuna, hayupo, kila mtu ana mfumo wake flani anaoufuata tena daily

Mwingine ataamka alfajiri, atafanya running, atafanya physical exercise ataoga ataenda kazini, huko kazini atatafuta muda atasoma page kadhaa za kitabu flani, au online course flani, jioni labda atapiga push up amara atafanya kile na utakuta hufanya hivyo Mara kwa Mara, ndio mfumo wake, desturi yake vivo hivyo kwa watu Wa dini ndio desturi zao kutafuta sometime to what they believe wakafanya ibada kidogo

Kwahiyo mtu asiefanya kazi na kujikwamua kwasababu ya dini huyo anasingizia dini(nasimami ibrahamic religion maana ndio nazijua sana na ndio zipo kwa kiasi kikubwa sana hapa kwetu Tanzania)kwa sababu watu kama marehemu mengi na akina SSB mbona ni kiigizo kizuri tu, Ni watu Wa dini na hata aliekwisha tangulia mengi alikuwa mtu Wa dini ila akiwa as chairman pale IPP ni kuchapa kazi


Din itself inahitaji pesa ili harakati ziendelee!
Tudumishe na kuendeleza tamaduni zetu, mbona ni nzuri. Lakini hizo ibrahamic culture kiukweli zinatupeleka motoni wala siyo mbinguni. Shimo ambalo hizo dini limetuchimbia kama hatujalifukia, zitakuja kutokomeza uzao wa mtu mweusi maana si kwa makapi haya wanayotulisha na mwisho wa siku wanataka pesa.

Tukiweza fanikiwa kufanya mageuzi ya misikiti na kanisa kubwa soko au kiwanda cha uzalishaji, impact ya uchumi wetu itakuwa kubwa sana, na umasikini utaisha milele.

Just imagine kuna makanisa na misikiti zaidi ya 100,000 Tanzania. Kila kanisa na msikiti kuwa soko au kiwanda ikiweza kutengeneza ajira kwa zaidi ya watu 50 kwa kipindi cha miaka 5 si tutakuwa tumetokomeza umaskini kwa asilimia kubwa.
 
Back
Top Bottom