AFRIMMA AWARDS 2020: Hongereni wasanii wetu Diamond, Zuchu na Nandi kwa kutuwakilisha vilivyo watanzania

AFRIMMA AWARDS 2020: Hongereni wasanii wetu Diamond, Zuchu na Nandi kwa kutuwakilisha vilivyo watanzania

Hiv kuhusu kampeni yenu ya kutowapigia kura wasanii wa CCM imeishia wapi?
Mkuu, ni kampeni ipi CHADEMA waliwahi kufanikiwa?

[emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha ile kampeni yao ya kuvunja laini za voda iliyongozwa na kina Lema, Lisu na viongozi wao wote, kisha siku walipopigwa gerezani wakatoa namba zao za voda kwa ajili ya kupokelea michango..!
 
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.

Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za

-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).

Huku tuzo ya

-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.


Itoshe kusema hongereni.

Sema hongera wasanii wa CCM.
 
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.

Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za

-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).

Huku tuzo ya

-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.


Itoshe kusema hongereni.
wamewakilisha CCM
 
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.

Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za

-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).

Huku tuzo ya

-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.


Itoshe kusema hongereni.
Afrimma nazo ni Tuzo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.

Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za

-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).

Huku tuzo ya

-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.


Itoshe kusema hongereni.
😍😍
 
Back
Top Bottom