Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 CHADEMA Ni wazee wakukurupa na mihemko Huu Uzi wataupita Kama vile hawajaona.Wale wa" kura mtapigiwa na chama mnachokitumikia ...mpooo"...😂😂😂😂
Hongera kwao.
Mkuu, ni kampeni ipi CHADEMA waliwahi kufanikiwa?Hiv kuhusu kampeni yenu ya kutowapigia kura wasanii wa CCM imeishia wapi?
Mkuu CHADEMA hakuna movement hata moja waliwahi kuifanikisha,! Nasema tena hakuna.Inamaana ile movement iliyokuja JF ya kutompigia kura Zuchu kisa show za ccm imebuma?
"Wapinzani watetereke" by Chuchu sijui ZuchuHiv kuhusu kampeni yenu ya kutowapigia kura wasanii wa CCM imeishia wapi?
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.
Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za
-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).
Huku tuzo ya
-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.
Itoshe kusema hongereni.
Wasije wakasema na huku kura zao zimeibiwa 🤣🤣🤣🤣Mkuu chadema hakuna movement hata moja waliwahi kuifanikisha,! Nasema tena hakuna.
Daah...umemuweza kweliInchi 1½
wamewakilisha CCMNapenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.
Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za
-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).
Huku tuzo ya
-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.
Itoshe kusema hongereni.
Afrimma nazo ni Tuzo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.
Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za
-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).
Huku tuzo ya
-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.
Itoshe kusema hongereni.
Hivi kana umri gani haka katoto?Nahitaji kandarasi ya kumchakata zuchu maana nina mzidi miaka mi5 tuuuu
😍😍Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa.
Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua tuzo za
-: Best east Afrika awards ya (Female & Male - DIAMOND PLATNUMZ & NANDI).
Huku tuzo ya
-: Newcomer artist kwa Africa ikichukuliwa na ZUCHU.
Itoshe kusema hongereni.
kina faa kwa matumizi mzee haka ka bintii weee hukaoni tuuHivi kana umri gani haka katoto?
Nakaona sema kana shida moja tu, hakajui kutabasamu. Inatokea nadra sana hadi mwezi uandame ndio utakaona akismile.kina faa kwa matumizi mzee haka ka bintii weee hukaoni tuu
Nahitaji kandarasi ya kumchakata zuchu maana nina mzidi miaka mi5 tuuuu