Afsa Elimu Rombo Asema Walemavu Hawana Umuhimu kwa Taifa!


Kuna mijitu sijui ilitakiwa izaliwe ni NGIRI??? Ana confirmed contract gani na MUUMBA WAKE kuwa akitoka hapo Landcruiser yake kamwe haitopata ajali na yeye kupoteza moja ya viongo vyake?? Kwa kila binadamu, kipindi chetu chote cha maisha ni MLEMAVU MTARAJIWA. Lolote laweza kutokea muda wowote na kukuachia kilema hadi kufa kwako!!!!
 
Ni kauli ambayo haifai kutolewa na kiongozi kama yeye, hivi jina lake nani, hafai hatakuongoza familia yake, kama anayo.

Hata kama ana familia mshenzi huyu atakuwa anafakamia hadi chakula cha watoto!! Nyambafu kabisa huyu jamaa!!!
 
Ina maana hata umuhimu wa babu hauoni.Kweli huyu balaa
 
Wamwulize Mudhihir! Nani alijua atakujapoteza mkono? Huyo Afisa Elimu aende akapate kitubio. Hajawatendea haki ndugu zetu wenye ulemavu! Kabla hajafa lazima naye auonje ulemavu huyu!
 
Ni kauli ambayo haifai kutolewa na kiongozi kama yeye, hivi jina lake nani, hafai hatakuongoza familia yake, kama anayo.

Jamani huyo atakuwa ni kichaa tu!! kama sio kichaa basi ana mapepo na ni mchawi mkuu!!
 
Dawa yake ni kumkata miguu yote na mikono alafu kumuuliza je ni muhimu na yeye kuendelea kuwepo au? Inasikitisha sana kuwa na watu wa aina hii na wanaachiwa tu hivihivi..aaaaagh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…