Afta skul bash

Just live your life hon Le Mutuzz le bahariazzzz. Muacheni apumuwe matonya wa watu asee.
 
Mimi na masela wangu wa Form slii B tukila bata nyumbani kwa mwalimu bwajoko baada ya kumaliza pepa za temino
Picha ya siku nyingi inaanza kuzungurushwa na kuzungumziwa tena
 
Kumbe jamaa alikuwa hajamaliza shule?kweli elim aina mwisho
 
Amefanya ubepari ....yeye pekeake amesimama sehemu ya watu wanne
 
Hivi le akili kubwaz ashawai toa utetezi wowote kuhusiana na hii picha.yaan mie am still on my twenties (late 20s)lakini hata bure siwezi enda kwenye hizi show za watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…