Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mbona hatulewi
Mtoto wa kinyaturu kwani wewe hutumii Coca-Cola ummu kulthum?simo kwa waliomo
Kumbe ndio maana ukichanganya coca na KIROBA jogoo unachafukwa mapema sana!
Mtoto wa kinyaturu kwani wewe hutumii Coca-Cola ummu kulthum?
bibie ummu kulthum maji gani tena ya Ki-Yugoslavia? siyajuwi bibie.kwenye tamu hapakosi uchungu,najinywea maji ya yugoslavia unayajua wewe?
bibie ummu kulthum maji gani tena ya Ki-Yugoslavia? siyajuwi bibie.
Bibie ummu kulthum Nitakuja huku kuyanywa hayo maji nitakuwa mgeni wako. Nimeshawahi kuja huko singida miaka ya 1980 Wakati ninatokea Kigoma kibiashara ya kununuwa Samaki wa Maji baridi na Sangara nitakuja tena inshallah nikija ni mgeni wako inshallah.kuna sehemu wazungu walikuwa wanakaa ikabaatizwa jina hilo enzi zile za utumwa, kuna maji ya kisimani yanaitwa hivyo ni ya baridi na hayana chumvi singida ndo tunatumia hayo kwa kunywa kwa kuwa ya bombani yana chumvi sana.