Bora hata angekuwa anadumu sasa[emoji849][emoji849]Binafsi nadhani JLo sio mtu wa kutulia na mtu mmoja kwa muda mrefu. Ndoa haimfai, na hivi alishaolewa mara nne atakuwa anaona hakuna jipya kwenye ndoa.
Marc Antony so far ndio kiboko yake, mbabe yule.Bora hata angekuwa anadumu sasa[emoji849][emoji849]
Labda kwa Marc Anthony
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
AhahahahJLo akichoka mb.oo yako hata kama mmefunga ndoa dk tano zilizopita, anakumwaga, then anaokota yeyote aliyeko machoni mwake analiendeleza[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ule urefu wote ana kibamia siamini???Arod lizuri lakini ana kibamia...afu ana tuhuma za ugay
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hebu niambie kile kikaka kidansa chake...watu walikuwa wanakicheka sana, na wanakipa onyo kuwa awe mjanja ampige hela asepe huyo Bibi atamtimua, kikajifanya kimefall inlove, kinampelekea moto sio wa kitoto ili kisiachwe[emoji16][emoji16]..Hahahahaah pale Kuna mpaka chalii anaitwa Casper aliweka chata lake[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Marc mwanaume yule Jen hana hamu nae...akishapiga sneeze yake ya maana anampa kichapo, kwa umalaya wake..Marc Antony so far ndio kiboko yake, mbabe yule.
Yeah handsome sana...afu mpole fulani hiviAhahahah
Walipendezeana sana na Arod
ila yule manzi alimchezea cheusi chekundu jamaa akaonekana amemuua kumbe demu kasepa zake kamuachia msalaKama.unataka kujua kuwa Ben affleck Ni chick magnet
Tafuta muvi yake moja hivi ya Gone girl huyu Jamaa anaweza hata mtongoza hata Kamala Harris na asichomee
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Wait kabla sijakusimulia...aliyekwambia kila mwanaume mrefu ana mb.oo kubwa ni nani?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]Ule urefu wote ana kibamia siamini???
Hizo tuhuma ilikuwaje hebu nisimulie
π€£π€£π€£Marc mwanaume yule Jen hana hamu nae...akishapiga sneeze yake ya maana anampa kichapo, kwa umalaya wake..
Hadi akakimbia mwenyewe[emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sampuli za WemaWanasema hawa Latinas ni kama dada zetu wa Singidani
Ahhaha utaniua mimiWait kabla sijakusimulia...aliyekwambia kila mwanaume mrefu ana mb.oo kubwa ni nani?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ila JLo huwa haachwi hata siku moja
Hao wanaume zake wote full kumlilia, sijui mbususu yake ina nini[emoji848][emoji848]
Huyo Ben kilaza aliyerudiwa kidogo ajinyonge wakati anaachwa ghafla, leo hii eti linamkubalia, safari hii lazima lijitundike[emoji16]
Huyo Alex watu walishamuonya kuwa achana na huyo Bibi anakupotezea mda hatuliagi na mwanaume mmoja, akajiona yy kidume atamtuliza na hicho kiba[emoji1646] chake[emoji848]
Yule mama ni onja onja sana, umalaya wake hata mwanaume kicheche hamfikii
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukimvua boksa utakutana na kilemutuz, umtukane matusi yote[emoji849]Ahhaha utaniua mimi
Anavyoonekana kakamilika kila idara
Nisimulie basii
Ila JLo huwa haachwi hata siku moja
Hao wanaume zake wote full kumlilia, sijui mbususu yake ina nini[emoji848][emoji848]
Huyo Ben kilaza aliyerudiwa kidogo ajinyonge wakati anaachwa ghafla, leo hii eti linamkubalia, safari hii lazima lijitundike[emoji16]
Huyo Alex watu walishamuonya kuwa achana na huyo Bibi anakupotezea mda hatuliagi na mwanaume mmoja, akajiona yy kidume atamtuliza na hicho kiba[emoji1646] chake[emoji848]
Yule mama ni onja onja sana, umalaya wake hata mwanaume kicheche hamfikii
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukimvua boksa utakutana na kilemutuz, umtukane matusi yote[emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
JLo ameingia kwenye mahusiano mapya mapema mno, she needed some time after her break up with A-Rod to heal. Asipokuwa makini ataumia tena.
Why the rush though??
I like her; I don't want to see her broken hearted again.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahahahaha kwa kweli JLO kundi la umalaya yumo ila mimi nilitegemea kama kurudiana basi ingekuwa P Diddy maana alikuwa anamsifia sifia mitandaoni kwamba kapendeza na JLO alikuwa anafurahia sana, yule Bennifer alikuwa nyuma ya pazia ndiyo sababu wengi wameshangazwa kwani walidhani hawakuwa na mawasiliano kumbe yalikuwepo ya siri, JLO anapenda sana kuolewa hivyo kama bado anataka kuolewa basi Bennifer itakamilisha kile kilichoshindikana 2003.