Tena ampitie trumpZe neksti wani iz
KIM JONG UN
Point [emoji106]Hadi raha kuona wengi wamekuja nchini kwetu.
Hakika wameona kuna usalama mzuri kwao.
Tusiache kumpa TANO uongozi wa Raisi wetu mpendwa Mh. JPM . Nchi yetu inasonga kuelekea kuzuri.
Nimeandika hivyo kwa sababu hao agents wanao bool trip zao wangekuwa wanawaambia kuna hatari huko wasingekuja kwa kutitirika hivi.
Tuungane pamoja kufurahia na wanaohusika na utalii nchini wakaze kamba bila kusahau polisi na wengine.
Ukalale Serengeti kwani una undugu na Nyati? Maana Serengeti ni baba na mama nyati ndo makazi yao.Afu kuna watu hatujawahi lala serengeti
Wapo mahali wanakula OMO.. wakija hapa hilo povu lake..Wakati kwetu wanakuja kula good time kule kwa jirani celebrities huenda kwa hisani ya UNHCR kwenye kampeni za kuondoa ama slums ama njaa ama ukimwi ama utapiamlo ama polio ama kipindupindu ama ukeketaji! [emoji28]
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app