AFTER BECKHAM, V.WANYAMA,WILL SMITH, ROONEY, USHER RAYMOND.. WHO ELSE WILL BE NEXT?

AFTER BECKHAM, V.WANYAMA,WILL SMITH, ROONEY, USHER RAYMOND.. WHO ELSE WILL BE NEXT?

Jhaxan

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
403
Reaction score
191
Fantastic [emoji85] [emoji85] [emoji85] and Usher Raymond he's now in Tanzania
653d7737fbb0fdb8b4bcf7e88fd76867.jpg
 
He's with his whole family atSigita grumeti in serengeti Tanzania

Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
 
Nitafuata mm

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hadi raha kuona wengi wamekuja nchini kwetu.

Hakika wameona kuna usalama mzuri kwao.

Tusiache kumpa TANO uongozi wa Raisi wetu mpendwa Mh. JPM . Nchi yetu inasonga kuelekea kuzuri.

Nimeandika hivyo kwa sababu hao agents wanao bool trip zao wangekuwa wanawaambia kuna hatari huko wasingekuja kwa kutitirika hivi.

Tuungane pamoja kufurahia na wanaohusika na utalii nchini wakaze kamba bila kusahau polisi na wengine.
 
Hadi raha kuona wengi wamekuja nchini kwetu.

Hakika wameona kuna usalama mzuri kwao.

Tusiache kumpa TANO uongozi wa Raisi wetu mpendwa Mh. JPM . Nchi yetu inasonga kuelekea kuzuri.

Nimeandika hivyo kwa sababu hao agents wanao bool trip zao wangekuwa wanawaambia kuna hatari huko wasingekuja kwa kutitirika hivi.

Tuungane pamoja kufurahia na wanaohusika na utalii nchini wakaze kamba bila kusahau polisi na wengine.
Point [emoji106]

Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
 
FB_IMG_1499938275293.jpg
FB_IMG_1499938287994.jpg


Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
 
Afu kuna watu hatujawahi lala serengeti
 
Afu kuna watu hatujawahi lala serengeti
Ukalale Serengeti kwani una undugu na Nyati? Maana Serengeti ni baba na mama nyati ndo makazi yao.

Ukiwaiga kila kitu wazungu utawehuka.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Wakati kwetu wanakuja kula good time kule kwa jirani celebrities huenda kwa hisani ya UNHCR ama WHO ama WFP kwenye kampeni za kuondoa ama slums ama njaa ama ukimwi ama utapiamlo ama polio ama kipindupindu ama ukeketaji! [emoji28]

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Wakati kwetu wanakuja kula good time kule kwa jirani celebrities huenda kwa hisani ya UNHCR kwenye kampeni za kuondoa ama slums ama njaa ama ukimwi ama utapiamlo ama polio ama kipindupindu ama ukeketaji! [emoji28]

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Wapo mahali wanakula OMO.. wakija hapa hilo povu lake..
 
Back
Top Bottom