Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
women 75 %????????? . mwisho wa dunia.
75%+19.80%=94.8% is this ryt? oyah 2nahitaj takwimu z ukwel cyo unakurupuka 2.
Oya, kama hesabu zinakushinda tulia. unatutia aibu wenye fani hapa.
Ngoja nikufafanulie.
19.80% of men, lost virginity.mean 80.20 % are virgin. we talk oonly men here. do the same for women also.
but 19.80% +75%=??? ni sawa na kujumlisha mahindi na ng'ombe.
hii lakini mie si kubali nayo
iweje 19.80% of men
na 75% of women..
mmhhh nina uhakika hatujaji toboa wenyewe..
hiyo number ya wanaume lazima iwe juu..
ama si hivyo inaonekana jinsi wanaume wanavyo tanga na njia...
![]()
Wachangiani samahani nimerekebisha. ni 80% wanaume ambao wamesha poteza ile original yao na siyo 19,80%.
Sample: ni watu wenye age ya 19 yrs ambao hawajaolewa wala kuoa.
Thanks.
Source:
.
![]()
Wachangiani samahani nimerekebisha. ni 80% wanaume ambao wamesha poteza ile original yao na siyo 19,80%.
Sample: ni watu wenye age ya 19 yrs ambao hawajaolewa wala kuoa.
Thanks.
Source:
.
Analysis nzuri sana Afrodenz,unless hao wachache wanafanya kazi kubwa ya kutoboa wengi kila mmoja then hakuna ukweli kwenye hizo hesabu zao..........wafafanue si kutuwekea ma-percentage ya kubuni tu.............Shosti,Husnininyo,Preta na Tatiana hawajaona hili,ngoja nilale,niamke nikiwa fresh ku-calculate tena.:ban:
Uniote mi nakubembeleza ee!!!!!Analysis nzuri sana Afrodenz,unless hao wachache wanafanya kazi kubwa ya kutoboa wengi kila mmoja then hakuna ukweli kwenye hizo hesabu zao..........wafafanue si kutuwekea ma-percentage ya kubuni tu.............Shosti,Husnininyo,Preta na Tatiana hawajaona hili,ngoja nilale,niamke nikiwa fresh ku-calculate tena.:ban:
Kwani mtu asipokuwa na bikra au akiwa nayo nini kinaongezeka ktk mwili wake au ni mawazomgando tu hayo, na itaporomoka mpaka ifike 0% ya wenyenayo, yaani itafika wakati wote tutakuwa ngoma droo ,labda watoto wachanga tu ndio watabaki kuwa na bikra
Kwani mtu asipokuwa na bikra au akiwa nayo nini kinaongezeka ktk mwili wake au ni mawazomgando tu hayo, na itaporomoka mpaka ifike 0% ya wenyenayo, yaani itafika wakati wote tutakuwa ngoma droo ,labda watoto wachanga tu ndio watabaki kuwa na bikra
hii lakini mie si kubali nayo
iweje 19.80% of men
na 75% of women..
mmhhh nina uhakika hatujaji toboa wenyewe..
hiyo number ya wanaume lazima iwe juu..
ama si hivyo inaonekana jinsi wanaume wanavyo tanga na njia...
Ndugu, kuwa bikira ni kitu chema hakuna mfano, ni heshima, ni dhamana, zaidi ni kidhihirisghi cha uaminifu wa mtu. Kutokuwa bikira ni indicator ya kutokuwa mwaminifu, na hii ndio chanzo cha watu kuto jali hata dnoa zao.
Nasikitika kuwa unatete hili, najua ni kwa sababu pengine huna naman tena ya kuwa bikira. Bikira wapo ila hawapendi kuolewa na mtu ambaye si bikira.
Mpango wa Mungu ni kuwa watu wote wawe bikira hadi waolewe. hatuna sababu ya kuutukuza huu uchakachuaji wala kushawishi wengine eti kuwa bikira ni ushamba. wacha wawe washamba lakini ni heshima kwa familia na jamii yak pia.
Mmmmmm, kila lawama, kila baya, kila kosa, kila..................lazima mwanamke tuuuuuuuuuuuu.
Walijitoa wenyewe????
Ndo yale yale wanampeleka mwanamke kwa Yesu eti huyu kazini, lakini amezini na nini/nani sio ishu.
Adamu nae, matunda umekula unaulizwa swali unamtupia Eva lawama, Eti huyu mwanamke uliyenipa amenipa nile.
Kwa nn usijibu swali Umekula matunda ya mti wa......,
Nyumba haina maadili huyu mwanamke, watoto wameharibika huyu mwanamke......
Sawa bwana, tutazibeba tu hizo lawama zenu.