After CDC, 80% of men and 75% of women have lost their virginity

After CDC, 80% of men and 75% of women have lost their virginity

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
british_girls_lost_freedom.jpg


Wachangiani samahani nimerekebisha. ni 80% wanaume ambao wamesha poteza ile original yao na siyo 19,80%.

Sample: ni watu wenye age ya 19 yrs ambao hawajaolewa wala kuoa.
Thanks.


Source:
.
 
haya tena mie nilizani wanaume watakuwa kwenye 90s hivi.....:tongue::tongue:
 
75%+19.80%=94.8% is this ryt? oyah 2nahitaj takwimu z ukwel cyo unakurupuka 2.
 
75%+19.80%=94.8% is this ryt? oyah 2nahitaj takwimu z ukwel cyo unakurupuka 2.

Oya, kama hesabu zinakushinda tulia. unatutia aibu wenye fani hapa.

Ngoja nikufafanulie.

19.80% of men, lost virginity.mean 80.20 % are virgin. we talk oonly men here. do the same for women also.

but 19.80% +75%=??? nimadudu.
 
Oya, kama hesabu zinakushinda tulia. unatutia aibu wenye fani hapa.

Ngoja nikufafanulie.

19.80% of men, lost virginity.mean 80.20 % are virgin. we talk oonly men here. do the same for women also.

but 19.80% +75%=??? ni sawa na kujumlisha mahindi na ng'ombe.

hii lakini mie si kubali nayo
iweje 19.80% of men
na 75% of women..

mmhhh nina uhakika hatujaji toboa wenyewe..
hiyo number ya wanaume lazima iwe juu..

ama si hivyo inaonekana jinsi wanaume wanavyo tanga na njia...
 
hii lakini mie si kubali nayo
iweje 19.80% of men
na 75% of women..

mmhhh nina uhakika hatujaji toboa wenyewe..
hiyo number ya wanaume lazima iwe juu..

ama si hivyo inaonekana jinsi wanaume wanavyo tanga na njia...

Analysis nzuri sana Afrodenz,unless hao wachache wanafanya kazi kubwa ya kutoboa wengi kila mmoja then hakuna ukweli kwenye hizo hesabu zao..........wafafanue si kutuwekea ma-percentage ya kubuni tu.............Shosti,Husnininyo,Preta na Tatiana hawajaona hili,ngoja nilale,niamke nikiwa fresh ku-calculate tena.:ban:
 
british_girls_lost_freedom.jpg


Wachangiani samahani nimerekebisha. ni 80% wanaume ambao wamesha poteza ile original yao na siyo 19,80%.

Sample: ni watu wenye age ya 19 yrs ambao hawajaolewa wala kuoa.
Thanks.


Source:
.

Pamoja na kurekebisha kwako hao wanawake wanajitoa hizo bikira zao bila wanaume???? Na wasiwasi na hizi takwimu!!!!
 
british_girls_lost_freedom.jpg


Wachangiani samahani nimerekebisha. ni 80% wanaume ambao wamesha poteza ile original yao na siyo 19,80%.

Sample: ni watu wenye age ya 19 yrs ambao hawajaolewa wala kuoa.
Thanks.


Source:
.

Kwani mtu asipokuwa na bikra au akiwa nayo nini kinaongezeka ktk mwili wake au ni mawazomgando tu hayo, na itaporomoka mpaka ifike 0% ya wenyenayo, yaani itafika wakati wote tutakuwa ngoma droo ,labda watoto wachanga tu ndio watabaki kuwa na bikra
 
Analysis nzuri sana Afrodenz,unless hao wachache wanafanya kazi kubwa ya kutoboa wengi kila mmoja then hakuna ukweli kwenye hizo hesabu zao..........wafafanue si kutuwekea ma-percentage ya kubuni tu.............Shosti,Husnininyo,Preta na Tatiana hawajaona hili,ngoja nilale,niamke nikiwa fresh ku-calculate tena.:ban:

mmmmhhhhhwanataka kutuonesha jinsi tulivyokuwa wabaya..
lakini mmmhh hii evedince yao inawasuta wenyewe lol
 
Analysis nzuri sana Afrodenz,unless hao wachache wanafanya kazi kubwa ya kutoboa wengi kila mmoja then hakuna ukweli kwenye hizo hesabu zao..........wafafanue si kutuwekea ma-percentage ya kubuni tu.............Shosti,Husnininyo,Preta na Tatiana hawajaona hili,ngoja nilale,niamke nikiwa fresh ku-calculate tena.:ban:
Uniote mi nakubembeleza ee!!!!!
 
Kwani mtu asipokuwa na bikra au akiwa nayo nini kinaongezeka ktk mwili wake au ni mawazomgando tu hayo, na itaporomoka mpaka ifike 0% ya wenyenayo, yaani itafika wakati wote tutakuwa ngoma droo ,labda watoto wachanga tu ndio watabaki kuwa na bikra

Acha kudanganya watu. Bikira wapo wengi sana. wanaume na wanawake. Acha kupotoasha jamii.
 
Kwani mtu asipokuwa na bikra au akiwa nayo nini kinaongezeka ktk mwili wake au ni mawazomgando tu hayo, na itaporomoka mpaka ifike 0% ya wenyenayo, yaani itafika wakati wote tutakuwa ngoma droo ,labda watoto wachanga tu ndio watabaki kuwa na bikra

Ndugu, kuwa bikira ni kitu chema hakuna mfano, ni heshima, ni dhamana, zaidi ni kidhihirisghi cha uaminifu wa mtu. Kutokuwa bikira ni indicator ya kutokuwa mwaminifu, na hii ndio chanzo cha watu kuto jali hata dnoa zao.
Nasikitika kuwa unatete hili, najua ni kwa sababu pengine huna naman tena ya kuwa bikira. Bikira wapo ila hawapendi kuolewa na mtu ambaye si bikira.

Mpango wa Mungu ni kuwa watu wote wawe bikira hadi waolewe/ kuoa. hatuna sababu ya kuutukuza huu uchakachuaji wala kushawishi wengine eti kuwa bikira ni ushamba. wacha wawe washamba lakini ni heshima kwa familia na jamii yak pia.
 
hii lakini mie si kubali nayo
iweje 19.80% of men
na 75% of women..

mmhhh nina uhakika hatujaji toboa wenyewe..
hiyo number ya wanaume lazima iwe juu..

ama si hivyo inaonekana jinsi wanaume wanavyo tanga na njia...

nimekutunikia PHD.
WAO HAWAJISEMI...yaani nataman niwe na nguvu nitembee na bakora mkonon nikimwona mwanaume nasimama NAMCHAPAAAAAAAAAAAA NAMCHAPAAAAAAAAAAAAAAA.....haaaa WANANIKERA AWA WANDUME acha tu yan wanamalengo ya kuionyesha jinsia ke ni wahanga,wabaya,hawana maadili .....sasa WALIJITOA WENYEWE izo naniiii??????ngoja nianze kupiga pushap next wk naanza OPERESHEN CHAPA MEN.
 
Ndugu, kuwa bikira ni kitu chema hakuna mfano, ni heshima, ni dhamana, zaidi ni kidhihirisghi cha uaminifu wa mtu. Kutokuwa bikira ni indicator ya kutokuwa mwaminifu, na hii ndio chanzo cha watu kuto jali hata dnoa zao.
Nasikitika kuwa unatete hili, najua ni kwa sababu pengine huna naman tena ya kuwa bikira. Bikira wapo ila hawapendi kuolewa na mtu ambaye si bikira.

Mpango wa Mungu ni kuwa watu wote wawe bikira hadi waolewe. hatuna sababu ya kuutukuza huu uchakachuaji wala kushawishi wengine eti kuwa bikira ni ushamba. wacha wawe washamba lakini ni heshima kwa familia na jamii yak pia.

too theoritical wat abt practical?
 
Mmmmmm, kila lawama, kila baya, kila kosa, kila..................lazima mwanamke tuuuuuuuuuuuu.
Walijitoa wenyewe????

Ndo yale yale wanampeleka mwanamke kwa Yesu eti huyu kazini, lakini amezini na nini/nani sio ishu.
Adamu nae, matunda umekula unaulizwa swali unamtupia Eva lawama, Eti huyu mwanamke uliyenipa amenipa nile.
Kwa nn usijibu swali Umekula matunda ya mti wa......,

Nyumba haina maadili huyu mwanamke, watoto wameharibika huyu mwanamke......
Sawa bwana, tutazibeba tu hizo lawama zenu.
 
Mmmmmm, kila lawama, kila baya, kila kosa, kila..................lazima mwanamke tuuuuuuuuuuuu.
Walijitoa wenyewe????

Ndo yale yale wanampeleka mwanamke kwa Yesu eti huyu kazini, lakini amezini na nini/nani sio ishu.
Adamu nae, matunda umekula unaulizwa swali unamtupia Eva lawama, Eti huyu mwanamke uliyenipa amenipa nile.
Kwa nn usijibu swali Umekula matunda ya mti wa......,

Nyumba haina maadili huyu mwanamke, watoto wameharibika huyu mwanamke......
Sawa bwana, tutazibeba tu hizo lawama zenu.

Hatujasema wanawake tuu, hata wanaume wanatakiwa kuwa bikira hata kama hakuna kiashiria cha kuwa bikira.
 
Back
Top Bottom