๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธAfter Corona Bash (Beach Party)๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธ

Kaka msambwanda kachafua Hali ya hewa
 
Mkuu kumbe Kiswahili ni kigumu namna hii!? Sijaambulia hapo kitu kabisa!? [emoji4][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeo
Corona imeisha takwimu ziko wapi? Hii ya makonda italeta maambukizi ya ajabu balaa na watu watakaokufa ni wazazi, manake wamama na wababa kwa vurugu za vijana za siku hio. Sababu watachota huko kishwa kwenda nyumbani kuambukiza wazazi. Makonda asipolea yatima... Mungu anamwona.
 
Nikirudi huku niliko nitawapa ushuhuda flani sababu mtandao umezimwa tangu juzi hapa kibishi natumia VPN kuhusu hiyo Corona, watu wanaishi nayo na inasepa yenyewe, nahisi ni kweli khofu ndio inayowauwa watu; niko ndugu yangu anayo na mimi sina na tupo pamoja 24 hours. Ila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HahahahaTE="Sky Eclat, post: 35430096, member: 106478"]
Corona amewaweza wazungu tu wanaomuelewa, ameingia bongo akisema how are you anajibiwa Howard hayupo hapa.
[/QUOTE]
Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ