Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Unataka kuvaa sanda harusini, kwani wewe ni mchawi?
Incubator Dona kantreMgeni wetu covid 19 Bado yupo na amefurahishwa na namna tulivyo mkarimu
Anasema hana mpango wa kuondoka, chukua tahadhari covid 19 yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe Kiswahili ni kigumu namna hii!? Sijaambulia hapo kitu kabisa!? [emoji4][emoji849]Nampongeza sana Rais kwa kuishinda Vita dhidi ya Coronavirus COVID-19, pia nampongeza sana Paul Makonda Mkuu wetu wa mkoa wa kihistoria kutokea tangu tupate Uhuru.
Jumapili ni siku rasmi ya kufungulia mbwa, mabaa, madisco, vigodoro na kila aina ya starehe iliyoadimika kwasababu ya Coronavirus COVID-19, basi jumapili ni siku ya kufanya kufuru.
Jamani ehhh...... Tafuteni wenzi, starehe za watu singo zitasababisha uhaba wa sabuni na matango Mjini.
Karibuni kwenye Beach Party yangu ya nguvu ninayoiandaa Coco Beach.
Njoo na ufagio wako na mpenzi wako aje na wake. Baada ya party tusafishe ufukwe wetu na kuacha ukiwa msafi kabisa.
Karibuni sana
Corona imeisha takwimu ziko wapi? Hii ya makonda italeta maambukizi ya ajabu balaa na watu watakaokufa ni wazazi, manake wamama na wababa kwa vurugu za vijana za siku hio. Sababu watachota huko kishwa kwenda nyumbani kuambukiza wazazi. Makonda asipolea yatima... Mungu anamwona.Nampongeza sana Rais kwa kuishinda Vita dhidi ya Coronavirus COVID-19, pia nampongeza sana Paul Makonda Mkuu wetu wa mkoa wa kihistoria kutokea tangu tupate Uhuru.
Jumapili ni siku rasmi ya kufungulia mbwa, mabaa, madisco, vigodoro na kila aina ya starehe iliyoadimika kwasababu ya Coronavirus COVID-19, basi jumapili ni siku ya kufanya kufuru.
Jamani ehhh...... Tafuteni wenzi, starehe za watu singo zitasababisha uhaba wa sabuni na matango Mjini.
Karibuni kwenye Beach Party yangu ya nguvu ninayoiandaa Coco Beach.
Njoo na ufagio wako na mpenzi wako aje na wake. Baada ya party tusafishe ufukwe wetu na kuacha ukiwa msafi kabisa.
Karibuni sana
Corona tumemuachia acheze na malimao sie tupo bize na mambo yetu.Mgeni wetu covid 19 Bado yupo na amefurahishwa na namna tulivyo mkarimu
Anasema hana mpango wa kuondoka, chukua tahadhari covid 19 yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mmo ndani ya mdomo wa simba tayariSina la kusema ila kuwatazamia kwa mbali mkiingia kwenye kumi na nane za simba na kucheza nao huku mkiwashika shika kidevu, yaani tu basi...
Haha haha mkojo upi huo unaokojoa wewe ?Bujibujiupost: 35430124 said:Unanikojolesha mwenzio kwa kicheko, loh.... Nimecheka kuliko Idrisa Sultan