After so many Hollywood's now Bollywoods reaction, 1 spotted in Tanzania

After so many Hollywood's now Bollywoods reaction, 1 spotted in Tanzania

Hehehe
Ndivyo ilivyo na ndio maana wazungu hututukana kwamba sisi Wafrika ni nugu, maana unakuta nyie hapo Mungu kawapa vyote hivyo lakini mnaishi kwa kuzungusha kibakuli cha kuombea misaada kwa wazungu walionyimwa.
Nyie hapo badala ya kutumia akili jinsi ya kujiboresha mnaishi maisha ya uzembe na kula albino, kwa hali hiyo mtabaki maskini miaka mingi maana ni laana.
Naskia wakenya ndo wafanya biashara wakubwa wa albinos

Kenyan arrested by Tanzania police over 'albino sale' - BBC News
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Dah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.

Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.

Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
Hujui mvinyo uliokaa muda mrefu ndio bora zaidi?
 
Nakumbuka hicho kisa cha 2010 ambapo Mkenya alithubutu kuwaletea albino nyie Watanzania ambao walaji, nashukuru polisi walimkamata kabla hajawafikia nyie maana mngetafuna minofu ya huyo albino bila huruma, siunajua tena mnavyopenda huo mlo.
Hiyo ilikuwa 2010, hii hapa ni 2015 Attackers in Kenya try to hack off body parts from albino for sale in Tanzania as polls near

Kwa jinsi magazeti yenu yalivyo ya kinyang'au, wanatwist story ili kulaumu tz lakini matukio hayo mawili ni uthibitisho kuwa Kenya haiko salama kwenye hili suala

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Huo ni uthibitisho kuwa suala hili hata ninyi linawahusu, hamkwepi!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.

Halipo kwetu na sisi si walaji wa albino, huyo alikua msaka hela aliyeingiwa tamaa baada ya kuskia Watanzania wanapenda sana minofu ya albino, ikabidi awaletee. Takwimu zinaonyesha mnawachinja sana wale watu, halafu sana sana wakati wa kampeni, ina maana viongozi wenu wanatumia nyama za albino kuingia kwenye uongozi na ndio maana hayaishi kwa sababu hao ndio wangeongoza katika kusimamisha huo mnyama.
 
Nakumbuka hicho kisa cha 2010 ambapo Mkenya alithubutu kuwaletea albino nyie Watanzania ambao walaji, nashukuru polisi walimkamata kabla hajawafikia nyie maana mngetafuna minofu ya huyo albino bila huruma, siunajua tena mnavyopenda huo mlo.
Kenya mna masaai albino ninyi? Huku sijawahi kuwaona Mkuu, nisaidie ktk hilo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe
Ndivyo ilivyo na ndio maana wazungu hututukana kwamba sisi Wafrika ni nugu, maana unakuta nyie hapo Mungu kawapa vyote hivyo lakini mnaishi kwa kuzungusha kibakuli cha kuombea misaada kwa wazungu walionyimwa.
Nyie hapo badala ya kutumia akili jinsi ya kujiboresha mnaishi maisha ya uzembe na kula albino, kwa hali hiyo mtabaki maskini miaka mingi maana ni laana.
Povu hilo mtu mzima.[emoji23] [emoji23]
 
Dah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.

Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.

Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
Mkuu punguza wivu sisi kama watanzania tunahitaji pesa zao taifa lipate pesa kikubwa analipa pesa habari za umri kwetu sio muhimu sana , wanakuja kupumzika

Ni hatua nzuri sana hongera wizara na Tanapa kwa jitihada hizi
 
Mlipata uhuru mbele yetu lakini hadi leo nyie maskini wa kutupwa ndani ya LDC, tumewashinda na cha kushanga nyie ni muungano wa nchi mbili, aibu sana.
Mkuu punguza dharau , watanzania wengi wanaweza kumudu Milo 3 na Huduma zingine muhimu huwez kufanisha na kenya

Hali ya uchumi taifa letu linakuja kwa kasi sana kwa kutumia vyema rasimali za taifa letu , nazan hii ndiyo inawauma zaid nyie .

Uzalendo wa watanzania sasa ni Tanzania kwanza ,mengine baadaye
 
Sunn..what?

10873737-clueless-black-man-all-on-white-background.jpg


Who's he???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom