elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Kuna rafiki yangu nasoma naye chuo wote tuko mwaka wa mwisho chuo flan hapa dodoma.
Sasa kuna kijana flan ni askari polisi wanafahamiana kwa kuwa wote wametokea musoma, hivyo basi jamaa uwa anaishi kwa huyo askari. Pale kwa askari anaishi kwenye nyumba za polisi na pale anaishi na wadogo zake wawili wa kike, mmoja yuko form 2 na mwingine form 4.
Sasa yule askari alikuwa akimchukulia huyu rafiki yangu kama ndugu yake na akadhan kuwa naye atawachukulia wadogo zake kama wadogo wake pia lakini kumbe ni tofauti.
Huyo askari anajiendeleza kimasomo hivyo basi mchana anakuwa masomon na shift zake ni za usiku tu. Bas kwake uwa anabaki huyu rafk yangu na wale watoto wa kike wawili.
Sasa yeye uwa ana mahusiano ya kimapenzi na yule wa form 4 na uwa ana do naye kila mara.
Nakumbuka siku ya kwanza kujua uhusiano wao, ilikuwa mwaka jana ambapo huyu rafiki yangu aliniambia kuwa kamtwisha mimba yule binti na akawa ana hofu sana.
Kusema kweli nilishangaa sana, na nikamuuliza hivi haoni kuwa ni hatari sana mtu kamwamini anakula bure kwake, jamaa ni askari anahangaika kuwasomesha wadogo zake na kuwatunza wazazi wake yeye anataka kuwaharibia maisha wadogo zake?
Jamaa akasema ooh sijui bahati mbaya lakini mwisho wa siku hiyo mimba waliitoa.
Uhusiano ukaendelea kama kawaida na kila siku nlikuwa namwambia za mwizi arobaini ipo siku atafumaniwa na ndiyo atajua kuwa usaliti mbaya.
Sasa ilikuwa jumatano wiki hii, askari kaingia lindo jamaa kama kawaida chumbani na binti mara mlango ukafunguliwa jamaa kumbe alisahau koti, ile anaingia chumbani akapishana na mdogo wake anatoka mbio akiwa uchi wa mnyama anakimbilia chumbani kwake mara akaingia chumbani akamkuta rafiki yangu akiwa kavaa condom ameppigwa butwaa.
Askari akachukua koti akatoka nje, rafiki yangu kahisi kifo maana kuna siku katika story askari aliwahi mwambia eti siku akimkuta mdogo wake kaleta bwana ndani kama ana bunduki atampiga risasi.
Ilikuwa usiku kama wa saa 6 rafiki yangu akavaa haraka akakimbia akaenda lala guest kesho yake ndiyo akarudi chuo.
Nguo zake, laptop na vitu vyote kaviacha nyumbani kwa askari na anaogopa kurudi.
Jana yule binti akiwa shule alimpgia rafiki yangu akamwambia amepigwa sana na amesema mambo yote.
Jamaa anahaha hapa na mbaya zaidi nyumbani kwao ana mchumba tayari.
Ama kweli za mwizi arobaini eti anaomva nimfuatie vitu vyake.
Nimemwambia mimi bado nahitaji kuishi sitaki pigwa maana wakurya wana hasira hakawii kumaliza hasira zake kwangu.
Sasa kuna kijana flan ni askari polisi wanafahamiana kwa kuwa wote wametokea musoma, hivyo basi jamaa uwa anaishi kwa huyo askari. Pale kwa askari anaishi kwenye nyumba za polisi na pale anaishi na wadogo zake wawili wa kike, mmoja yuko form 2 na mwingine form 4.
Sasa yule askari alikuwa akimchukulia huyu rafiki yangu kama ndugu yake na akadhan kuwa naye atawachukulia wadogo zake kama wadogo wake pia lakini kumbe ni tofauti.
Huyo askari anajiendeleza kimasomo hivyo basi mchana anakuwa masomon na shift zake ni za usiku tu. Bas kwake uwa anabaki huyu rafk yangu na wale watoto wa kike wawili.
Sasa yeye uwa ana mahusiano ya kimapenzi na yule wa form 4 na uwa ana do naye kila mara.
Nakumbuka siku ya kwanza kujua uhusiano wao, ilikuwa mwaka jana ambapo huyu rafiki yangu aliniambia kuwa kamtwisha mimba yule binti na akawa ana hofu sana.
Kusema kweli nilishangaa sana, na nikamuuliza hivi haoni kuwa ni hatari sana mtu kamwamini anakula bure kwake, jamaa ni askari anahangaika kuwasomesha wadogo zake na kuwatunza wazazi wake yeye anataka kuwaharibia maisha wadogo zake?
Jamaa akasema ooh sijui bahati mbaya lakini mwisho wa siku hiyo mimba waliitoa.
Uhusiano ukaendelea kama kawaida na kila siku nlikuwa namwambia za mwizi arobaini ipo siku atafumaniwa na ndiyo atajua kuwa usaliti mbaya.
Sasa ilikuwa jumatano wiki hii, askari kaingia lindo jamaa kama kawaida chumbani na binti mara mlango ukafunguliwa jamaa kumbe alisahau koti, ile anaingia chumbani akapishana na mdogo wake anatoka mbio akiwa uchi wa mnyama anakimbilia chumbani kwake mara akaingia chumbani akamkuta rafiki yangu akiwa kavaa condom ameppigwa butwaa.
Askari akachukua koti akatoka nje, rafiki yangu kahisi kifo maana kuna siku katika story askari aliwahi mwambia eti siku akimkuta mdogo wake kaleta bwana ndani kama ana bunduki atampiga risasi.
Ilikuwa usiku kama wa saa 6 rafiki yangu akavaa haraka akakimbia akaenda lala guest kesho yake ndiyo akarudi chuo.
Nguo zake, laptop na vitu vyote kaviacha nyumbani kwa askari na anaogopa kurudi.
Jana yule binti akiwa shule alimpgia rafiki yangu akamwambia amepigwa sana na amesema mambo yote.
Jamaa anahaha hapa na mbaya zaidi nyumbani kwao ana mchumba tayari.
Ama kweli za mwizi arobaini eti anaomva nimfuatie vitu vyake.
Nimemwambia mimi bado nahitaji kuishi sitaki pigwa maana wakurya wana hasira hakawii kumaliza hasira zake kwangu.