Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Kwahyo kuteswa ndio kukufanye ugalagazwe oyoo? Hapo nani amedhalilika?
Ofcz nyege mbaya sana,wote wawili wamedhalilika,kuchapiwa siri ya ndani
Mi sifumanii jmn,ubavu wa kumuacha sina na kwnn nifaidishe watu
 
Hii ishu haihitaji PhD wala nini
Mshaona mmezidiwa tafteni Lodge,ofisini tena mida ya kazi, there's a lot to loose,bora ht iwe late night
 
Noma sana.Yaani ninavyompenda mke wangu,nikimkuta analiwa hivyo miguu itaishiwa nguvu
 
sasa kwanini walimkimbiza hospital wakati mwenyewe alikuwa na lengo nzuri kabisa la kujiua?!
 
sasa kwanini walimkimbiza hospital wakati mwenyewe alikuwa na lengo nzuri kabisa la kujiua?!
Lengo ni kunusuru maisha yake maana Mungu bado hamuhitaji..pia ugeni wa ghafla kwaungu hauna nafasi
 
Ofcz nyege mbaya sana,wote wawili wamedhalilika,kuchapiwa siri ya ndani
Mi sifumanii jmn,ubavu wa kumuacha sina na kwnn nifaidishe watu
Wengi hawatakuelewa ila wengine tumekuelewa. Inaonyesha unajielewa, I wish watu wote tungeelewa hivyo
 
Mbona kama story hivi. Yani ufumaniwe na mke wa mtu tena ofisini na mgegedo uendelee kuwa umesimama tu na bastola juu. Hisia zitatokea wapi hapo kusimamisha machine gani.. Bydaway napita zangu tu
 
Kwahiyo kufumania ni zoezi gumu lataka moyo, siyo?
Siyo hivyo, kuacha mke au mume si jambo la mchezo. Unafumania unapandisha likishuka mnaendelea kuishi wote kwa vidonda rohoni. Ila kuna mtu humu ana signature imeandikwa fumanizi linaimarisha ndoa. Nadhani yupo sahihi kwani kama mke wako alikuwa kijogoo ukimfumania tangu hapo hadi afe utakuwa ni kijogoo wake maana akifanya fokyo unamchapa kwa hilo fumanizi lazima awe mdogo kama piritoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…