Mbona atakoma kwa kiherehere chake kutupia habr ambazo zinawachukiza wengiUkiambiwa kuwa nn wewe ulomuita mmewe utakana? Iweje uingie na mgeni kwa ofis ya boss bila hodi? Kwa nn hukuanza wewe kwenda mwenyewe kwa boss? Ofis yenu haina secretary au ndo wewe? Kama ndo wewe mbona ma secretary huwa wanaanza kuongea na ma boss? Basi una unafiki bi dada maana hiyo unayosema eti ni shoga yako mi naona ni unafiki na ww ndo ulimuita mumewe!
Jipu la kwapani mkuuJipu la kwapani au makarioni?
Umeona ee!!!!!shetani kachoka amekimbiaaa
Hii ni chai mkuu, bado ulikuwa unaamini, nani anaweza fanya jambo hili hata kama ni bosi bila kuchukua tahadhari ya kujifungua milango, halafu mtu ameingia na bastola na kuwalazimu watu waendele na tendo, na eti boss akaendelea kula mzigo na ngoma ikasimama hahahaha, huyu binti ni jipu story za uwongo sio ishu...Watu wakitaka kufanya kitu kama hiki bila shaka watachukua tahadhari zote. Haiwezekani uingie uwakute live labda kissing ambayo ukiingia tu wataaacha
unadhani ni baby malaya? tunawaona huku makazini. Kama mkeo ameajiriwa atabamizwa tu.Matatizo ya kuoa Baby malaya ndiyo hayo
Ofic gani hizo, ,, lkn ck iz kuliwa wake za watu ofisini imekuwa kawaida sana maeneo ya posta ndo mchezo huu upo sana na kwenye baadhi ya mabenki yaani ni balaa tupu.Kuhusu kuzoea sijui maana sijawahi hisi wala kusikia.
Staff nane tumeshuhudia
Huo ndiyo umalaya wenyewe sasaunadhani ni baby malaya? tunawaona huku makazini. Kama mkeo ameajiriwa atabamizwa tu.
halafu eti mtu aje na bastola kama vile alijua kinachofanyika. mtuni alitunga bila kujihoji maswaliHii ni chai mkuu, bado ulikuwa unaamini, nani anaweza fanya jambo hili hata kama ni bosi bila kuchukua tahadhari ya kujifungua milango, halafu mtu ameingia na bastola na kuwalazimu watu waendele na tendo, na eti boss akaendelea kula mzigo na ngoma ikasimama hahahaha, huyu binti ni jipu story za uwongo sio ishu...
Safari hii itakuwa ni nyumbani kwako
Alishindwa kumueleza mumewake kuwa hajaridhika na hvyo atwwombwe sanaaaa. Hata kama n Mara 5 kwa usiku m1? Au cha asubuhi hakukipata? Cjuw kwann wanawake huwa wanashindwa kuongea kuwa hawajardhika.got your point....ila mh balaaa ini aibu ya mwaka hapo mke anaacha kazi mwenyewe kama akishindwa himili...ndoa inavunjika...vitisho vinakuja toka kwa mume mtu ...mwisho wa siku anaweza sambaza picha kwa kukomoa au asipopata anachotaka...its a disaster aisee....upande wa pili nini shida nyege au haridhishwi namume wana mgogoro au nini kuzidiwa hadi ku bang ofisini bora waneenda haa nje mida flani
Au anaisogeza pembeni....!Hapo anavua chupi tu
Wameishia wapi? Hawajaoana?Chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.