Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Mbona atakoma kwa kiherehere chake kutupia habr ambazo zinawachukiza wengi
 
Watu wakitaka kufanya kitu kama hiki bila shaka watachukua tahadhari zote. Haiwezekani uingie uwakute live labda kissing ambayo ukiingia tu wataaacha
 
Watu wakitaka kufanya kitu kama hiki bila shaka watachukua tahadhari zote. Haiwezekani uingie uwakute live labda kissing ambayo ukiingia tu wataaacha
Hii ni chai mkuu, bado ulikuwa unaamini, nani anaweza fanya jambo hili hata kama ni bosi bila kuchukua tahadhari ya kujifungua milango, halafu mtu ameingia na bastola na kuwalazimu watu waendele na tendo, na eti boss akaendelea kula mzigo na ngoma ikasimama hahahaha, huyu binti ni jipu story za uwongo sio ishu...
 
Kuhusu kuzoea sijui maana sijawahi hisi wala kusikia.
Staff nane tumeshuhudia
Ofic gani hizo, ,, lkn ck iz kuliwa wake za watu ofisini imekuwa kawaida sana maeneo ya posta ndo mchezo huu upo sana na kwenye baadhi ya mabenki yaani ni balaa tupu.
 
Hii hadithi tuu.... Kakutwa ofisini mlango haujafungwa....., wakaambiwa waendelee chini ya mtutu wa bunduki wakaendelea!!!! Wapi uume unasimama kwenye Hali kama hii..!!!!! Asante kwa Tungo yako
 
halafu eti mtu aje na bastola kama vile alijua kinachofanyika. mtuni alitunga bila kujihoji maswali
 
tumejua ofisini kwenu kulikua na fumanizi, kwenye nyumba yako unaridhishwa.. tunasubiri umbea mwingine, sijui itakua wapi..
 
tumejua ofisini kwenu kulikua na fumanizi, kwenye nyumba yako unaridhishwa.. tunasubiri umbea mwingine, sijui itakua wapi..
Safari hii itakuwa ni nyumbani kwako
 
Alishindwa kumueleza mumewake kuwa hajaridhika na hvyo atwwombwe sanaaaa. Hata kama n Mara 5 kwa usiku m1? Au cha asubuhi hakukipata? Cjuw kwann wanawake huwa wanashindwa kuongea kuwa hawajardhika.
 
Chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.
Wameishia wapi? Hawajaoana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…