Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Ukiambiwa kuwa nn wewe ulomuita mmewe utakana? Iweje uingie na mgeni kwa ofis ya boss bila hodi? Kwa nn hukuanza wewe kwenda mwenyewe kwa boss? Ofis yenu haina secretary au ndo wewe? Kama ndo wewe mbona ma secretary huwa wanaanza kuongea na ma boss? Basi una unafiki bi dada maana hiyo unayosema eti ni shoga yako mi naona ni unafiki na ww ndo ulimuita mumewe!
Mbona atakoma kwa kiherehere chake kutupia habr ambazo zinawachukiza wengi
 
Watu wakitaka kufanya kitu kama hiki bila shaka watachukua tahadhari zote. Haiwezekani uingie uwakute live labda kissing ambayo ukiingia tu wataaacha
 
Watu wakitaka kufanya kitu kama hiki bila shaka watachukua tahadhari zote. Haiwezekani uingie uwakute live labda kissing ambayo ukiingia tu wataaacha
Hii ni chai mkuu, bado ulikuwa unaamini, nani anaweza fanya jambo hili hata kama ni bosi bila kuchukua tahadhari ya kujifungua milango, halafu mtu ameingia na bastola na kuwalazimu watu waendele na tendo, na eti boss akaendelea kula mzigo na ngoma ikasimama hahahaha, huyu binti ni jipu story za uwongo sio ishu...
 
Kuhusu kuzoea sijui maana sijawahi hisi wala kusikia.
Staff nane tumeshuhudia
Ofic gani hizo, ,, lkn ck iz kuliwa wake za watu ofisini imekuwa kawaida sana maeneo ya posta ndo mchezo huu upo sana na kwenye baadhi ya mabenki yaani ni balaa tupu.
 
Hii ni chai mkuu, bado ulikuwa unaamini, nani anaweza fanya jambo hili hata kama ni bosi bila kuchukua tahadhari ya kujifungua milango, halafu mtu ameingia na bastola na kuwalazimu watu waendele na tendo, na eti boss akaendelea kula mzigo na ngoma ikasimama hahahaha, huyu binti ni jipu story za uwongo sio ishu...
halafu eti mtu aje na bastola kama vile alijua kinachofanyika. mtuni alitunga bila kujihoji maswali
 
tumejua ofisini kwenu kulikua na fumanizi, kwenye nyumba yako unaridhishwa.. tunasubiri umbea mwingine, sijui itakua wapi..
 
tumejua ofisini kwenu kulikua na fumanizi, kwenye nyumba yako unaridhishwa.. tunasubiri umbea mwingine, sijui itakua wapi..
Safari hii itakuwa ni nyumbani kwako
 
got your point....ila mh balaaa ini aibu ya mwaka hapo mke anaacha kazi mwenyewe kama akishindwa himili...ndoa inavunjika...vitisho vinakuja toka kwa mume mtu ...mwisho wa siku anaweza sambaza picha kwa kukomoa au asipopata anachotaka...its a disaster aisee....upande wa pili nini shida nyege au haridhishwi namume wana mgogoro au nini kuzidiwa hadi ku bang ofisini bora waneenda haa nje mida flani
Alishindwa kumueleza mumewake kuwa hajaridhika na hvyo atwwombwe sanaaaa. Hata kama n Mara 5 kwa usiku m1? Au cha asubuhi hakukipata? Cjuw kwann wanawake huwa wanashindwa kuongea kuwa hawajardhika.
 
Chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.
Wameishia wapi? Hawajaoana?
 
Back
Top Bottom